Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto ataka TBC kuchunguzwa

>Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amependekeza kufanyika uchunguzi wa kiufundi ili kubaini sababu za kukatika kwa matangazo ya moja kwa moja ya kituo cha televisheni cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati Bunge la Katiba likiendelea juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe ataka TBC ionyeshe picha za Karume

>Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Mussa Haji Kombo amelalamikia kitendo cha makala mbalimbali za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kutokuonyesha picha za mmoja wa waasisi wa Muungano huo, Hayati Abeid Aman Karume.

 

11 years ago

Habarileo

Ataka Zitto afutwe Chadema

Mchungaji Peter Msigwa MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) ametaka wana Chadema kuunga mkono mpango wa kumfuta uanachama aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wao, Kabwe Zitto.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge ataka Zitto, wenzake wafukuzwe

Wakati Kamati Kuu ya Chadema ikijipanga kuwahoji Zitto Kabwe na wenzake waliosimamishwa, Mwenyekiti wa chama hicho katika Kanda ya Kaskazini, Mchungaji Israel Natse, amesema salama ya chama hicho ni kuwatimua wote waliovuliwa nyadhifa zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto ataka kampuni ya umma bandari ya Dar

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe amependekeza kuanzishwa kwa Kampuni ya umma itakayokuwa inahusika kufanya shughuli za kupakia na kupakua mizigo katika bandari ya Dar es Salaam badala ya utaratibu wa sasa ambao ni wa kampuni binafsi.

 

9 years ago

Habarileo

Zitto ataka mashabiki kuiona Stars bure

KIONGOZI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency au ACT, Zitto Kabwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuondoa viingilio ili wapenzi wa soka kuona bure mchezo ya Taifa Stars na Nigeria utakaofanyika Septemba 5.

 

10 years ago

Vijimambo

Siku nane zamsubiri Zitto ACT, Aitwa kuteta na Spika, Mwenyewe ataka subira.

Siku chache baada ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, mbunge huyo amewasili bungeni, huku zikiwapo taarifa kwamba atawaaga wabunge wenzake leo.

Taarifa ambazo zimesambaa bungeni zinaeleza kuwa, jana Zitto alipanga kuwaaga wabunge wenzake kabla ya kikao cha Bunge kuahirishwa mchana, lakini alishindwa kufanya hivyo baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, kumwita kwa ajili ya mazungumzo.

Zitto ambaye hata hivyo, amekuwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mawaziri kuchunguzwa

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

Suarez kuchunguzwa na FIFA

Shirikisho la FIFA limeanzisha uchunguzi kwa madai kuwa Suarez alimng'ata mchezaji wa Italia Chiellini

 

10 years ago

BBCSwahili

Jack Warner azidi kuchunguzwa

Makamu wa Rais wa zamani wa FIFA Jack Warner amekumbwa na kashfa ingine na uchunguzi dhidi yake unaendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani