Zitto ataka TBC kuchunguzwa
>Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge la Jamhuri ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto amependekeza kufanyika uchunguzi wa kiufundi ili kubaini sababu za kukatika kwa matangazo ya moja kwa moja ya kituo cha televisheni cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati Bunge la Katiba likiendelea juzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Mjumbe ataka TBC ionyeshe picha za Karume
11 years ago
Habarileo02 Jan
Ataka Zitto afutwe Chadema
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) ametaka wana Chadema kuunga mkono mpango wa kumfuta uanachama aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wao, Kabwe Zitto.
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Mbunge ataka Zitto, wenzake wafukuzwe
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Zitto ataka kampuni ya umma bandari ya Dar
9 years ago
Habarileo31 Aug
Zitto ataka mashabiki kuiona Stars bure
KIONGOZI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency au ACT, Zitto Kabwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuondoa viingilio ili wapenzi wa soka kuona bure mchezo ya Taifa Stars na Nigeria utakaofanyika Septemba 5.
10 years ago
Vijimambo19 Mar
Siku nane zamsubiri Zitto ACT, Aitwa kuteta na Spika, Mwenyewe ataka subira.
Taarifa ambazo zimesambaa bungeni zinaeleza kuwa, jana Zitto alipanga kuwaaga wabunge wenzake kabla ya kikao cha Bunge kuahirishwa mchana, lakini alishindwa kufanya hivyo baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, kumwita kwa ajili ya mazungumzo.
Zitto ambaye hata hivyo, amekuwa...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Suarez kuchunguzwa na FIFA
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Jack Warner azidi kuchunguzwa