Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku nane zamsubiri Zitto ACT, Aitwa kuteta na Spika, Mwenyewe ataka subira.

Siku chache baada ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, mbunge huyo amewasili bungeni, huku zikiwapo taarifa kwamba atawaaga wabunge wenzake leo.

Taarifa ambazo zimesambaa bungeni zinaeleza kuwa, jana Zitto alipanga kuwaaga wabunge wenzake kabla ya kikao cha Bunge kuahirishwa mchana, lakini alishindwa kufanya hivyo baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, kumwita kwa ajili ya mazungumzo.

Zitto ambaye hata hivyo, amekuwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIKU ZITTO ALIPOJIUNGA NA CHAMA CHA ACT TAWI LA TAGETA

Mhe. Ziti Kobwe akiwasili katika viwanja wa Ofisi ya Chama cha ACT Tawi la Tegeta kwa ajili ya kujiunga rasmin na Chama hicho na kukabidhiwa Kadi yake ya Uwanachama. Mhe Kabwe akijaza Fomu yake ya kujiunga na Chama cha ACT alipowasili katika Tawi la ACT Tegeta jana. ili kujiunga rasmin na Chama hicho. Wanachama wa Chama cha ACT wakimshindikiza Mhe Kabwe alipofika katika Tawi la ACT Tegeta kujiunga na Chama hicho wakiwa katika Ofisi hizo huko Tegeta.Mhe Kabwe akilipa Ada ya Uanachama wakati...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda ataka subira

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema suala la kumtaka ajiuzulu wadhifa wake si jipya, lakini akasema ni vyema kusubiri mjadala wa Bunge wa sakata la Tegeta Escrow ufike mwisho, ndipo hatua stahiki zitajulikana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita

01.

Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.

04

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...

 

11 years ago

Michuzi

MEGATRADE YAWAWEZESHA MOSHI VETERANI KWENDA KUKIPIGA TABORA SIKU KUUU YA NANE NANE.

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investiment Ltd Kanda ya Kaskazini, Edmund Rutaraka,akikabidhi hundi ya kiasi cha shilingini milioni moja kwa mwenyekiti wa klabu ya Moshi veterani ya mkoani Kilimanjaro Tumaini Mungete .wengine ni baadhi ya viongozi wa klabu ya Moshi Veterani,Wilson Stephen na Aggrey Makia(upande wa kulia) upande wa kushoto ni wafanyakazi wa Megatrade mkoani Kilimanjaro.Meneja Mauzo wa Kampuni ya Megatrade Investiment Ltd ,Kanda ya Kaskazini, Edmund
Rutaraka,akikabidhi...

 

11 years ago

GPL

HUKUMU YA ZITTO KABWE KESHO SAA NANE

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa au kutotoa zuio la muda kwa Kamati Kuu ya Chadema kutojadili uanachama wa Zitto Kabwe mpaka kesho saa nane…

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY. --Ndugu wanahabari kumekuwa na utaratibu wa habari zinazoupotosha umma wa watanzania kuhusu chama chetu cha ACT-Tanzania.
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...

 

10 years ago

Mtanzania

Spika amzuia Zitto kuachia ubunge

Na Fredy Azzah, Dodoma
AZMA ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), ya kujiuzulu ubunge imegonga mwamba baada ya kuelezwa kuwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, amemzuia kufanya hivyo, imefahamika.
Zitto ambaye alikuwa ameshafanya maandalizi ya kuaga jana ndani ya Bunge, alijikuta akigonga mwamba dakika za mwisho baada ya kuingia bungeni na kuelezwa na mmoja wa maofisa wa Bunge kuwa suala lake la kutoa hotuba limeahirishwa na Spika Makinda akitakiwa kwanza kuifanyia...

 

10 years ago

Habarileo

Tume yasubiri barua ya Spika kuhusu Zitto

Ruth MashamTUME ya Uchaguzi imesema hata ikipokea barua kutoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe haina uwezo wa kuchukua hatua yoyote mpaka watakapopokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani