SIKU ZITTO ALIPOJIUNGA NA CHAMA CHA ACT TAWI LA TAGETA
Mhe. Ziti Kobwe akiwasili katika viwanja wa Ofisi ya Chama cha ACT Tawi la Tegeta kwa ajili ya kujiunga rasmin na Chama hicho na kukabidhiwa Kadi yake ya Uwanachama.
Mhe Kabwe akijaza Fomu yake ya kujiunga na Chama cha ACT alipowasili katika Tawi la ACT Tegeta jana. ili kujiunga rasmin na Chama hicho.
Wanachama wa Chama cha ACT wakimshindikiza Mhe Kabwe alipofika katika Tawi la ACT Tegeta kujiunga na Chama hicho wakiwa katika Ofisi hizo huko Tegeta.
Mhe Kabwe akilipa Ada ya Uanachama wakati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Oct
Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-PQ3cCBhtNUE/VCwNv30XPoI/AAAAAAADEsg/fLSGWFewAGQ/s1600/01.aa4.jpg)
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...
10 years ago
Mwananchi20 Mar
Chama cha ACT chamwandalia Zitto makazi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWcvGXc3zaY6XNL1DlQfgiRZQjwXHR0uPZ4zdl3Bi2sfYx8*Tqckg0aBH8JcOyvwiu5YNXmZsZmO6NizzU2tE-ej/1ACT.jpg)
CHAMA CHA ACT - TANZANIA CHAKANUSHA KUMILIKIWA NA ZITTO KABWE
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/--x4Ruk7HvNc/VRcGaVvHqMI/AAAAAAAAEnc/JPIiQBut3bg/s1600/Zitto%2BKabwe-ACT%2BLeader3.jpg)
ZITTO KABWE ACHAGULIWA KUWA MKUU WA CHAMA CHA ACT TANZANIA
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
10 years ago
Michuzi15 Jun
KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA TABORA
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/486.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2119.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/397.jpg)
10 years ago
Michuzi20 Jun
KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE, AWAHUTUBI WAKAZI WA MJI WA MPANDA
![001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/00111.jpg)
![002](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0027.jpg)
![mail.google.com](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mail.google.com_18.jpg)
![003](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0033.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
EXCLUSIVE: Zitto ajiunga rasmi na Chama cha ACT-Tanzania, akabidhiwa kadi namba 007194
Mh. Zitto Kabwe akilipa kwa ajili ya usajili wa kadi ya uanachama wa ACT.
...Kumwaga ‘mboga’ mbele ya wandishi wa Habari Jumapili hii Machi 22
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Hayawi hayawi…Sasa yamekuwa licha ya kusemwa sana kwa muda mrefu juu ya kuhusishwa na chama kipya cha siasa cha ACT-Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe sasa yamekuwa kweli kwa Mbunge huyo baada ya leo Jumamosi ya Machi 21, kupokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake...