Zitto ataka mashabiki kuiona Stars bure
KIONGOZI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency au ACT, Zitto Kabwe amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuondoa viingilio ili wapenzi wa soka kuona bure mchezo ya Taifa Stars na Nigeria utakaofanyika Septemba 5.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Magufuli kuiona Stars, Algeria
*Mecky Sadiki amwalika Kikwete
*Algeria yapata pigo jingine
THERESIA GASPER NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi kati ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’, unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mchezo huo utakuwa wa kwanza kuhudhuriwa na Rais huyo mpya tangu...
9 years ago
Vijimambo04 Sep
Kuiona Stars buku 7, Magufuli aitakia heri.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-4Augst2015.jpg)
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.
Wakati kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameomba Watanzania waruhusiwe kuingia bure uwanjani kuishangilia Taifa Stars dhidi ya Nigeria kesho, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vikubwa kwa ajili ya mechi hiyo ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017.
Wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu zilizofanyika Mbagala jijini Dar es Salaam Jumapili, Zitto...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3HmytvM4nu*Dy3WfL*B6drLw5QbE0ZJC4v9FMB9VXw3E68JJHdRK62eZuG4GgSu0URVstno69gDT9Sal5405RdPVS/zitto.jpg?width=650)
ZITTO AWAPASUA VICHWA VYA MASHABIKI WAKE
9 years ago
Habarileo28 Dec
Kerr ataka mashabiki wasikate tamaa
KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr amewataka mashabiki wa timu hiyo kutokata tamaa na matokeo ya sare na kwamba timu yake itakaa sawa katika mechi zijazo. Simba juzi ilipata sare ya tatu baada ya ile dhidi ya Azam na dhidi ya Toto African ya Mwanza kwa kutoka sare ya bao 1-1 na Mwadui ya Shinyanga.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Zitto ataka TBC kuchunguzwa
11 years ago
Habarileo02 Jan
Ataka Zitto afutwe Chadema
MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) ametaka wana Chadema kuunga mkono mpango wa kumfuta uanachama aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wao, Kabwe Zitto.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CIyoW3Xt1Ww/U531sm4lXlI/AAAAAAAFq1s/q0UL2cH3jy4/s72-c/2.jpg)
VIINGILIO MECHI ZA TAIFA STARS SASA KARIBU NA BURE - MALINZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-CIyoW3Xt1Ww/U531sm4lXlI/AAAAAAAFq1s/q0UL2cH3jy4/s1600/2.jpg)
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM JAMAL Malinzi, rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kwamba kuanzia sasa viingilio vya mechi za timu ya taifa, Taifa Stars kwa maeneo yasiyo ya VIP vitakuwa vya bei nafuu ili kutoa fursa kwa watu wengi kwenda kuishangilia timu hiyo.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Malinzi amesema kwamba wamejifunza hilo kutoka kwa Zimbabwe ambao kwenye mechi za timu ya taifa viingilio vya eneo la mzunguko huwa vya chini mno.
“Tumeona...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Diamond awashukuru mashabiki, ataka wahamie MTV
MSHINDI wa tuzo saba za Muziki za Kilimanjaro (KTMA 2014), Nassib Abdul ‘Diamond Platnumz,’ amewashukuru wadau na mashabiki wa sanaa nchini waliomwezesha kuibuka na ushindi huo uliovunja rekodi huku akiwataka...
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Mbunge ataka Zitto, wenzake wafukuzwe