Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIINGILIO MECHI ZA TAIFA STARS SASA KARIBU NA BURE - MALINZI


Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM JAMAL Malinzi, rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kwamba kuanzia sasa viingilio vya mechi za timu ya taifa, Taifa Stars kwa maeneo yasiyo ya VIP vitakuwa vya bei nafuu ili kutoa fursa kwa watu wengi kwenda kuishangilia timu hiyo.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Malinzi amesema kwamba wamejifunza hilo kutoka kwa Zimbabwe ambao kwenye mechi za timu ya taifa viingilio vya eneo la mzunguko huwa vya chini mno.
“Tumeona...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Malinzi: Kamwe Taifa Stars haitajitoa mechi za kimataifa

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema Tanzania haiwezi kujitoa kwenye mashindano kwa sasa kuhofia rungu la Shirikisho la Soka Ulimwenguni (Fifa).

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Habarileo

Malinzi awapa tano Taifa Stars

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameipongeza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Watanzania wote kwa ushindi waliopata dhidi ya Malawi juzi.

 

9 years ago

Michuzi

SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA

SIMU.TV: Taifa Stars na Algeria wazichapa katika uwanja wa taifa jijini  Dar es salaam ili kufuzu kuwania kombe la dunia;  https://youtu.be/i5DZb0UDAZU SIMU.TV Mambo ya Samatta sio ya kitoto  licha ya mpira kuwa wa moto kwelikweli kwa timu zote mbili  za Taifa stars na timu ya Algeria;  https://youtu.be/c6swRxcEjm8 SIMU.TV Huku ni kukosa bahati kwa mechi ya leo au? Angalia hali ilivyo dimbani kipindi cha kwanza. Hebu toa tathmini yako binafsi ;  https://youtu.be/_9xKvwLCrEg  SIMU.TV Mgagaa na...

 

10 years ago

Mwananchi

MECHI:Samata aibeba Taifa Stars

Mshambuliaji kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata ameibuka shujaa baada ya kuifungia bao Taifa Stars ikilazimishwa sare 1-1 na Malawi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Mechi ngumu inayoweza kuipa heshima Taifa Stars

Jumamosi ya Novemba 14 mwaka huu, nyasi za Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam zitawaka moto katika pambano linalotajwa kuwa la kufa au kupona kwa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ambayo itawakaribisha moja ya miamba ya soka Barani Afrika, Algeria ‘The Desert Warriors’.

 

9 years ago

Michuzi

UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA


Ama hakika wengi waliokuwepo Uwanja wa Taifa  jana waliondoka kwa huzuni sana. Waliondoka kwa huzuni sio sababu timu ya taifa ilifungwa. Laa hasha!! Hawakutegemea kupata matokeo ya sare kwenye mchezo wa kufuzu kucheza kombe la dunia dhidi ya miamba ya soka afrika Algeria.Tayari kwa kila mmoja mechi ilishaisha hasa baada ya kuongoza kwa goli mbili kwa bila.ila mpira ni mchezo wa makosa.mwisho wa mchezo ikawa huzuni kwetu baada ya waarabu wa kaskazin mwa afrika kusawazisha goli zote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani