Mechi ngumu inayoweza kuipa heshima Taifa Stars
Jumamosi ya Novemba 14 mwaka huu, nyasi za Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam zitawaka moto katika pambano linalotajwa kuwa la kufa au kupona kwa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ambayo itawakaribisha moja ya miamba ya soka Barani Afrika, Algeria ‘The Desert Warriors’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
TAIFA STARS BADO NGOMA NGUMU COSAFA, YAPOTEZA MCHEZO WA PILI KWA KUPIGWA 2-0 NA MADAGASCER

Kwa Taifa Stars kupoteza mchezo huo, moja kwa moja inakua imeaga michuano katika hatua ya makundi, kutokana na kubakisha mchezo mmoja tu wa kukamilisha ratiba dhidi ya Lesotho utakaochezwa kesho ijumaa katika uwanja wa Moruleng.

10 years ago
Mwananchi30 Mar
MECHI:Samata aibeba Taifa Stars
Mshambuliaji kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata ameibuka shujaa baada ya kuifungia bao Taifa Stars ikilazimishwa sare 1-1 na Malawi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza jana.
9 years ago
Michuzi
SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA
SIMU.TV: Taifa Stars na Algeria wazichapa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ili kufuzu kuwania kombe la dunia; https://youtu.be/i5DZb0UDAZU SIMU.TV Mambo ya Samatta sio ya kitoto licha ya mpira kuwa wa moto kwelikweli kwa timu zote mbili za Taifa stars na timu ya Algeria; https://youtu.be/c6swRxcEjm8 SIMU.TV Huku ni kukosa bahati kwa mechi ya leo au? Angalia hali ilivyo dimbani kipindi cha kwanza. Hebu toa tathmini yako binafsi ; https://youtu.be/_9xKvwLCrEg SIMU.TV Mgagaa na...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Malinzi: Kamwe Taifa Stars haitajitoa mechi za kimataifa
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema Tanzania haiwezi kujitoa kwenye mashindano kwa sasa kuhofia rungu la Shirikisho la Soka Ulimwenguni (Fifa).
9 years ago
Michuzi
UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA

11 years ago
Michuzi
VIINGILIO MECHI ZA TAIFA STARS SASA KARIBU NA BURE - MALINZI

Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM JAMAL Malinzi, rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kwamba kuanzia sasa viingilio vya mechi za timu ya taifa, Taifa Stars kwa maeneo yasiyo ya VIP vitakuwa vya bei nafuu ili kutoa fursa kwa watu wengi kwenda kuishangilia timu hiyo.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mjini Dar es Salaam, Malinzi amesema kwamba wamejifunza hilo kutoka kwa Zimbabwe ambao kwenye mechi za timu ya taifa viingilio vya eneo la mzunguko huwa vya chini mno.
“Tumeona...
9 years ago
Michuzi
KUONA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA NI BUKU 5 TU JUMAMOSI HII

Tiketi za mchezo huo zitaanzwa kuuzwa siku ya ijumaa katika vituo mbalimbali vinavyotumiwa na TFF kuuzia tiketi, ambapo kiingilio kingine kitakua ni elfu kumi (10,000) kwa viti vya VIP B & C, huku kiingilio cha elfu tano kikiwa ni kwa viti vya rangi ya Bluu, Kijani...
11 years ago
Michuzi04 Mar
TAIFA STARS YAENDA Windhoek, Namibia kwa ajili ya mechi ya kalenda ya FIFA

11 years ago
Michuzi
MAZUNGUMZO KUHUSU MECHI YA MPIRA WA MIGUU KATI YA TWIGA STARS NA TIMU YA TAIFA YA ZAMBIA

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania