Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUONA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA NI BUKU 5 TU JUMAMOSI HII

 Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Jumamosi kati ya Tanzania dhidi ya Algeria utakaochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam bei ya chini kuwa ni shilingi elfu tano (5,000) tu.
Tiketi za mchezo huo zitaanzwa kuuzwa siku ya ijumaa katika vituo mbalimbali vinavyotumiwa na TFF kuuzia tiketi, ambapo kiingilio kingine kitakua ni elfu kumi (10,000) kwa viti vya VIP B & C, huku kiingilio cha elfu tano kikiwa ni kwa viti vya rangi ya Bluu, Kijani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA

SIMU.TV: Taifa Stars na Algeria wazichapa katika uwanja wa taifa jijini  Dar es salaam ili kufuzu kuwania kombe la dunia;  https://youtu.be/i5DZb0UDAZU SIMU.TV Mambo ya Samatta sio ya kitoto  licha ya mpira kuwa wa moto kwelikweli kwa timu zote mbili  za Taifa stars na timu ya Algeria;  https://youtu.be/c6swRxcEjm8 SIMU.TV Huku ni kukosa bahati kwa mechi ya leo au? Angalia hali ilivyo dimbani kipindi cha kwanza. Hebu toa tathmini yako binafsi ;  https://youtu.be/_9xKvwLCrEg  SIMU.TV Mgagaa na...

 

9 years ago

Michuzi

UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA


Ama hakika wengi waliokuwepo Uwanja wa Taifa  jana waliondoka kwa huzuni sana. Waliondoka kwa huzuni sio sababu timu ya taifa ilifungwa. Laa hasha!! Hawakutegemea kupata matokeo ya sare kwenye mchezo wa kufuzu kucheza kombe la dunia dhidi ya miamba ya soka afrika Algeria.Tayari kwa kila mmoja mechi ilishaisha hasa baada ya kuongoza kwa goli mbili kwa bila.ila mpira ni mchezo wa makosa.mwisho wa mchezo ikawa huzuni kwetu baada ya waarabu wa kaskazin mwa afrika kusawazisha goli zote...

 

9 years ago

Michuzi

TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO, YATARI KWA MTANANGE DHIDI YA MBWEHA WA JANGWANI JUMAMOSI HII

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager inarejea leo nyumbani kwa shirika la ndege la Fastjet, ambapo inatarajiwa kuwasili uwanja wa JK Nyerere majira ya saa 12 kamili jioni.
Stars iliyokuwa imeweka kambi nchini Afrika Kusini kwa takribani siku 10, inarejea nyumbani ikiwa imefanya mazoezi vizuri kujiandaa na kuwakabili Mbweha wa Jangwani Algeria siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongelea kuhusu kambi kocha wa...

 

11 years ago

Michuzi

KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.

Kiingilio cha chini cha mechi ya kirafiki kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Malawi (Flames) itakayofanyika Jumanne (Mei 27 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni sh. 5,000.
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...

 

9 years ago

Mtanzania

Taifa Stars yaitesa Algeria

Pg 32ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER

WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.

Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...

 

9 years ago

Habarileo

Taifa Stars kuiendea Algeria ng’ambo

TIMU ya soka ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuweka kambi ya siku 12 nje ya nchi kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia na ile ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Stars itacheza na Algeria Novemba 17 katika mchezo wa awali wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018.

 

9 years ago

Bongo Movies

Maneno ya JB Baada ya Taifa Stars Kufungwa na Algeria

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye ni moja kati ya mastaa wa bongo moivies wanaopenda soka, ametoa wito wa kutowabeza Taifa Stars baada ya kufungwa magori saba kwa sifuri na timu ya taifa ya Algeria.

“Hakuna maajabu kwenye mpira, kama unajua unajua tu. Tusiwalaumu, tutengeneze timu, tena tuanze na vilabu vyetu wenye pesa waachwe wawekeze. Hakuna short cut...” JB aliandika kwenye ukurasa wa instagram.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani