KUONA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA NI BUKU 5 TU JUMAMOSI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-rfNYILmwrw4/VkGonEEWmZI/AAAAAAAIFJo/Da40poErTcs/s72-c/eden8.png)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Jumamosi kati ya Tanzania dhidi ya Algeria utakaochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam bei ya chini kuwa ni shilingi elfu tano (5,000) tu.
Tiketi za mchezo huo zitaanzwa kuuzwa siku ya ijumaa katika vituo mbalimbali vinavyotumiwa na TFF kuuzia tiketi, ambapo kiingilio kingine kitakua ni elfu kumi (10,000) kwa viti vya VIP B & C, huku kiingilio cha elfu tano kikiwa ni kwa viti vya rangi ya Bluu, Kijani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/w28RRVNBJdA/default.jpg)
SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0oEbd28Q9B4/VkiRRjhFWWI/AAAAAAAIF7c/N8hmob2S4aQ/s72-c/Manara%25282%2529.jpg)
UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0oEbd28Q9B4/VkiRRjhFWWI/AAAAAAAIF7c/N8hmob2S4aQ/s1600/Manara%25282%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zpCBVBd3U2U/VkMdP5nwhgI/AAAAAAAIFSw/9QHi-bYCpqw/s72-c/eden8.png)
TAIFA STARS KUREJEA NCHINI LEO, YATARI KWA MTANANGE DHIDI YA MBWEHA WA JANGWANI JUMAMOSI HII
![](http://1.bp.blogspot.com/-zpCBVBd3U2U/VkMdP5nwhgI/AAAAAAAIFSw/9QHi-bYCpqw/s640/eden8.png)
Stars iliyokuwa imeweka kambi nchini Afrika Kusini kwa takribani siku 10, inarejea nyumbani ikiwa imefanya mazoezi vizuri kujiandaa na kuwakabili Mbweha wa Jangwani Algeria siku ya Jumamosi katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Akiongelea kuhusu kambi kocha wa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s72-c/TFF+Logo.jpg)
KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...
9 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-KA6nJefl_OY/Vhz2Nh9QNII/AAAAAAABXWI/O-PQzS8I5FQ/s640/vpl6.png)
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Taifa Stars yaitesa Algeria
ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER
WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.
Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...
9 years ago
Habarileo20 Oct
Taifa Stars kuiendea Algeria ng’ambo
TIMU ya soka ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuweka kambi ya siku 12 nje ya nchi kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia na ile ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Stars itacheza na Algeria Novemba 17 katika mchezo wa awali wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LXCUWCrbopw/default.jpg)
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Maneno ya JB Baada ya Taifa Stars Kufungwa na Algeria
Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambaye ni moja kati ya mastaa wa bongo moivies wanaopenda soka, ametoa wito wa kutowabeza Taifa Stars baada ya kufungwa magori saba kwa sifuri na timu ya taifa ya Algeria.
“Hakuna maajabu kwenye mpira, kama unajua unajua tu. Tusiwalaumu, tutengeneze timu, tena tuanze na vilabu vyetu wenye pesa waachwe wawekeze. Hakuna short cut...” JB aliandika kwenye ukurasa wa instagram.