UCHAMBUZI WA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA WA HAJI MANARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0oEbd28Q9B4/VkiRRjhFWWI/AAAAAAAIF7c/N8hmob2S4aQ/s72-c/Manara%25282%2529.jpg)
Ama hakika wengi waliokuwepo Uwanja wa Taifa jana waliondoka kwa huzuni sana. Waliondoka kwa huzuni sio sababu timu ya taifa ilifungwa. Laa hasha!! Hawakutegemea kupata matokeo ya sare kwenye mchezo wa kufuzu kucheza kombe la dunia dhidi ya miamba ya soka afrika Algeria.Tayari kwa kila mmoja mechi ilishaisha hasa baada ya kuongoza kwa goli mbili kwa bila.ila mpira ni mchezo wa makosa.mwisho wa mchezo ikawa huzuni kwetu baada ya waarabu wa kaskazin mwa afrika kusawazisha goli zote...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/w28RRVNBJdA/default.jpg)
SIMU TV: MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rfNYILmwrw4/VkGonEEWmZI/AAAAAAAIFJo/Da40poErTcs/s72-c/eden8.png)
KUONA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA NI BUKU 5 TU JUMAMOSI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-rfNYILmwrw4/VkGonEEWmZI/AAAAAAAIFJo/Da40poErTcs/s640/eden8.png)
Tiketi za mchezo huo zitaanzwa kuuzwa siku ya ijumaa katika vituo mbalimbali vinavyotumiwa na TFF kuuzia tiketi, ambapo kiingilio kingine kitakua ni elfu kumi (10,000) kwa viti vya VIP B & C, huku kiingilio cha elfu tano kikiwa ni kwa viti vya rangi ya Bluu, Kijani...
5 years ago
Michuzi17 May
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s72-c/Manara(2).jpg)
Haji Sunday Manara ndie msemaji mpya wa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s1600/Manara(2).jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally ameiambia Globu ya Jamii kuwa Manara atachua nafasi ya Humphrey Nyasio ambaye atapangiwa majukumu mengine.
"Kamati ya Utendaji ya Simba imemkabidhi jukumu Manara baada ya kujiridhisha pasi na shaka uzoefu wake katika masuala ya michezo na pia uzoefu wake katika mambo mbalimbali ya kiutawala, hivyo kuwa na imani kwamba...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Taifa Stars yaitesa Algeria
ABDUCADO EMMANUEL NA THERESIA GASPER
WAKATI timu ya Taifa ya Tanzania ikitarajia kurudiana na Algeria ‘The Desert Foxes’ kwenye Uwanja wa Mustapha Tchaker jijini Blida leo saa 3:15 usiku, Taifa Stars imeonekana kuwatesa wapinzani hao kuelekea mchezo huo wa raundi ya pili kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi.
Kiwango kikubwa walichokionyesha Stars kwenye mchezo wa kwanza uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, bado kimezidi kuwavuruga Algeria ambao hadi sasa hawaamini kama...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
MSUMAJI WA SIMBA HAJI SUNDAY MANARA AWAPONGEZA WAPENZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s320/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Ninawaandikia ujumbe huu makhsus kuwashukuru kwa mara nyingine kwa kazi nzuri mliyoifanya uwanjani Leo kwa kuishangilia timu yenu mwanzo mwisho kwenye mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Taita.
Mimi naamini bila ya support yenu Simba haiwezi kufanya vizuri hata siku moja.
Pia kwa niaba ya uongozi wenu tunawashkuru sana wapenzi wetu ambao hawakujaaliwa kufika uwanjani hii leo. Sisi tunaamini dua na sala zao zmesaidia kutupa nguvu hii leo na kupata points...
9 years ago
Habarileo20 Oct
Taifa Stars kuiendea Algeria ng’ambo
TIMU ya soka ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuweka kambi ya siku 12 nje ya nchi kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya kufuzu Kombe la Dunia na ile ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Stars itacheza na Algeria Novemba 17 katika mchezo wa awali wa kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Urusi mwaka 2018.
9 years ago
Habarileo13 Nov
Pambano Taifa Stars, Algeria kesho gumzo
PAMBANO la kuwania kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka 2018 kati ya timu ya soka ya Tanzania `Taifa Stars’ dhidi ya Algeria, linalotarajiwa kupigwa kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, limekuwa gumzo miongoni mwa mashabiki wa soka ndani na nje ya nchi.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/155.jpg)
FASTJET KUISAFIRISHA TAIFA STARS KWENDA ALGERIA