Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa
Utata umezingira suala la kijana George Mgoba, ambaye amekuwa akijitambulisha kuwa kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) baada ya habari kuwa alitekwa na baadaye kutupwa kwenye Msitu wa Pugu, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtandao wa Haki za Binadamu watoa tamko juu ya kutekwa na kuteswa kwa kiongozi wa wahitimu JKT
Mwenyekiti wa JKT Tanzania, Bw. George Mgoba akiwa wodini.
TAMKO KWA VYOMBO VYA HABARI.docx by moblog
11 years ago
Habarileo14 May
Awamu ya nne JKT yakosa vijana
AWAMU ya nne ya mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa wahitimu wa Kidato cha Sita iliyokuwa ianze mwanzoni mwa mwaka huu, imekosa vijana kutokana na wengi wao kujiunga na vyuo vya elimu ya juu ambavyo muhula wake umeanza Oktoba mwaka jana.
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana
Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Kukamatwa vijana JKT sarakasi tupu
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi nchini na uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), wametofautiana kauli kuhusu aliko Mwenyekiti wa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), George Mgoba (28), anayedaiwa kutoroshwa na polisi hospitalini hapo alikokuwa amelazwa.
Mgoba anadaiwa kutoroshwa na polisi baada ya Muhimbili kumruhusu ambapo hadi sasa hajulikani alipo.
Wakati Muhimbili wakisema mgonjwa huyo aliruhusiwa jana saa sita mchana, Jeshi la Polisi...
10 years ago
TheCitizen11 Nov
JKT, Vijana cruise in RBA League
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Kiongozi wa vijana wa Ivory Coast, ICC
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana