Kukamatwa vijana JKT sarakasi tupu
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi nchini na uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), wametofautiana kauli kuhusu aliko Mwenyekiti wa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), George Mgoba (28), anayedaiwa kutoroshwa na polisi hospitalini hapo alikokuwa amelazwa.
Mgoba anadaiwa kutoroshwa na polisi baada ya Muhimbili kumruhusu ambapo hadi sasa hajulikani alipo.
Wakati Muhimbili wakisema mgonjwa huyo aliruhusiwa jana saa sita mchana, Jeshi la Polisi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Urais ACT — Wazalendo sarakasi tupu
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
11 years ago
GPLWARSHA YA KUJENGA UWEZO WA MUZIKI NA SARAKASI KWA WATOTO NA VIJANA YATOLEWA
10 years ago
CHADEMA Blog
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana
Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...
10 years ago
TheCitizen11 Nov
JKT, Vijana cruise in RBA League
11 years ago
Habarileo14 May
Awamu ya nne JKT yakosa vijana
AWAMU ya nne ya mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa wahitimu wa Kidato cha Sita iliyokuwa ianze mwanzoni mwa mwaka huu, imekosa vijana kutokana na wengi wao kujiunga na vyuo vya elimu ya juu ambavyo muhula wake umeanza Oktoba mwaka jana.
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana