Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kukamatwa vijana JKT sarakasi tupu

George-MgobaNa Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi nchini na uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), wametofautiana kauli kuhusu aliko Mwenyekiti wa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), George Mgoba (28), anayedaiwa kutoroshwa na polisi hospitalini hapo alikokuwa amelazwa.
Mgoba anadaiwa kutoroshwa na polisi baada ya Muhimbili kumruhusu ambapo hadi sasa hajulikani alipo.
Wakati Muhimbili wakisema mgonjwa huyo aliruhusiwa jana saa sita mchana, Jeshi la Polisi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Urais ACT — Wazalendo sarakasi tupu

Sintofahamu imetanda ndani ya Chama cha ACT – Wazalendo juu ya hatima ya mgombea wa urais baada ya mgombea aliyependekezwa na kuchukuliwa fomu ya kuomba uteuzi, Profesa Kitila Mkumbo kuikataa nafasi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sanaa ya sarakasi yainua vijana TZ

Shule ya Sarakasi ya Mama Afrika yainua vijana Dar es Salaam

 

11 years ago

GPL

WARSHA YA KUJENGA UWEZO WA MUZIKI NA SARAKASI KWA WATOTO NA VIJANA YATOLEWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Baba Watoto Center kilichopo Mburahati kwa Jongo, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, Bw. Mgunga Mwamnyenyelwa  akizungumzia juu ya kituo hicho kinavyofanya kazi na sababu za kuwakusanya watoto hao katika kituo hicho ikiwa ni pamoja na kuwajengea uelewa zaidi na kuwafundisha vitu mbalimbali kama Ngoma, Sarakasi, Ushonaji ili baadae waweze kuja kujitegemea wenyewe.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa

Utata umezingira suala la kijana George Mgoba, ambaye amekuwa akijitambulisha kuwa kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) baada ya habari kuwa alitekwa na baadaye kutupwa kwenye Msitu wa Pugu, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana

Pg 1

 

 

 

 

 

 

 

Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...

 

10 years ago

TheCitizen

JKT, Vijana cruise in RBA League

Resurgent JKT Stars continue proving critics wrong in the ongoing RBA League after crushing Jogoo 86-59 on Sunday.

 

11 years ago

Habarileo

Awamu ya nne JKT yakosa vijana

AWAMU ya nne ya mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa wahitimu wa Kidato cha Sita iliyokuwa ianze mwanzoni mwa mwaka huu, imekosa vijana kutokana na wengi wao kujiunga na vyuo vya elimu ya juu ambavyo muhula wake umeanza Oktoba mwaka jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana

Mgombea Urais wa Chadema kwa tiketi ya Ukawa, Edward Lowassa amesema akiiangia madarakani atashughulikia suala la ukosefu wa ajira hasa kwa vijana kwa kuhakikisha vijana wanajiunga na kwenye mafunzzo ya Jeshi la Kujenga Taifa na kupatiwa mafunzo ya ufundi stadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani