Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waisilamu wautoroka mji wa Bangui tena

Walinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamewaondosha waisilamu,1,200, kutoka mji mkuu Bangui kutokana na tisho la usalama wao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wautoroka mji wa Bangui CAR

Wakiwa wameabiri malori na kusindikizwa na wanajeshi wa taifa la Chad ni msafara wa hivi karibuni wa waislamu kutoroka vita wakiwa na matumaini ya kupata hifadhi katika taifa jirani la Chad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu hawatapelelezwa tena New York

Idara ya polisi mjini New York Marekani, imefunga kitengo chake maalum cha kuwapepeleza waisilamu ili kuchunguza kama kuna tisho lolote la ugaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mji wa Bor wakombolewa tena

Bor, mji mkuu wa jimbo la Jonglei la Sudan Kusini warudi tena mikononi mwa jeshi, lakini waasi wasema waliondoka bila ya kupigana

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wauteka tena mji wa Bentiu

Wapiganaji S.Kusini wanasema wameudhibiti upya mji wa Bentiu, na wametoa makataa kwa makampuni kusitisha uchimbaji wa mafuta.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo

Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu wakimbilia usalama CAR

Wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Afrika wameusindikiza msafara wa Waislamu zaidi ya Elfu Moja waliokuwa wanaondoka mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria

Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu watoroka mashambulizi CAR

Zaidi ya wakimbizi 2000 Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon baada ya kukimbia mzozo wa kidini unaoendelea nchini mwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu ya waisilamu kuhusu maziko

Na katika hatua nyingine baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wamekuwa na mashaka iwapo wapendwa wao wanaofariki kwa Ebola kama wanazikwa kwa taratibu zinazostahili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani