Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mji wa Bor wakombolewa tena

Bor, mji mkuu wa jimbo la Jonglei la Sudan Kusini warudi tena mikononi mwa jeshi, lakini waasi wasema waliondoka bila ya kupigana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mji wa Bor S.Kusini wageuka mahame

Mji wa Bor uliokombolewa hivi karibuni na wanajeshi wa Serikari umeharibika kabisa kufuatia mapambano na waasi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi Sudan Kusini washikilia mji wa Bor

Waasi Sudan Kusini wametwaa mji wa Bor uliopo kilimita 200 kaskazini mwa mji mkuu Juba

 

11 years ago

BBCSwahili

Waasi wauteka tena mji wa Bentiu

Wapiganaji S.Kusini wanasema wameudhibiti upya mji wa Bentiu, na wametoa makataa kwa makampuni kusitisha uchimbaji wa mafuta.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu wautoroka mji wa Bangui tena

Walinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamewaondosha waisilamu,1,200, kutoka mji mkuu Bangui kutokana na tisho la usalama wao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Askari wa Marekani wajeruhiwa Bor

Wanajeshi wa Marekani wajeruhiwa Sudan Kusini katika mji wa Bor ambao serikali yajaribu kuukomboa

 

11 years ago

BBC

South Sudan: Under attack outside Bor

Witnessing ambushes and the death of general in South Sudan

 

11 years ago

BBCSwahili

Mamia wakimbia vita Bor

Wakaazi wa mji wa Bor nchini Sudan Kusini wanaendelea kuukimbia mji huo wakihofia maisha yao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijana wa Machar waelekea Bor

Taarifa zasema vijana wa Sudan Kusini wafuasi wa Riek Machar waandamana kuelekea Bor, mji uliokombolewa na serikali

 

11 years ago

BBCSwahili

Jenerali wa Sudan Kusini auwawa Bor.

Mapigano makali yamezuka nje ya mji mkuu wa Sudan Kusini wa Bor na Jenerali mmoja wa jeshi la Sudan Kusini ameuwawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani