Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakristu zaidi watekwa nyara Syria

Kuna hofu kuwa raia wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji watekwa nyara, Syria

Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake zaidi watekwa nyara Nigeria

Inaripotiwa kuwa wanawake pamoja na wasichana sitini wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wiki iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana zaidi watekwa nyara Nigeria

Washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria, Boko Haram, wamewateka nyara wasichana wengine 8 Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yawateka wakristu 90 Syria

Kundi la Islamic State limewateka nyara watu 90 wa jamii ya wakristo kutoka katika kijiji kimoja kazkazini mwa Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 200 watekwa nyara Nigeria

Polisi nchini Nigeria wanasema kuwa shule ya mabweni ya wasichana imeshambuliwa katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

GPL

WASAFIRI RAIA WA CAMEROON WATEKWA NYARA

Wasafiri kadhaa raia wa Cameroon wameripotiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana karibu na mpaka wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, watu hao 15 wametekwa nyara na watu wenye silaha wa kundi linaloongozwa na mtu mmoja anayetambulika kwa jina la Abdoulaye Miskine, huko kaskazini mashariki mwa Cameroon karibu na mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Chanzo kimoja cha usalama nchini Cameroon...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq

Watu wenye silaha wamewateka nyara wawindani 27 kutoka Qatar, miongoni mwao watu wa familia ya kifalme.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 60 wauawa Syria

Zaidi ya watu 60 wameuwawa, katika mashambulio kadhaa ya angani yaliyofanywa na majeshi ya serikali ya Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misaada zaidi yahitajika Syria

Mkuu wa maswala ya kibinaadam wa umoja wa mataifa,Valerie Amos ataka misaada zaidi ipelekwe Syria

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani