Wakristu zaidi watekwa nyara Syria
Kuna hofu kuwa raia wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Wapiganaji watekwa nyara, Syria
Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wanawake zaidi watekwa nyara Nigeria
Inaripotiwa kuwa wanawake pamoja na wasichana sitini wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wiki iliyopita.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Wasichana zaidi watekwa nyara Nigeria
Washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria, Boko Haram, wamewateka nyara wasichana wengine 8 Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
IS yawateka wakristu 90 Syria
Kundi la Islamic State limewateka nyara watu 90 wa jamii ya wakristo kutoka katika kijiji kimoja kazkazini mwa Syria.
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Wanafunzi 200 watekwa nyara Nigeria
Polisi nchini Nigeria wanasema kuwa shule ya mabweni ya wasichana imeshambuliwa katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZw9oy-V3TakgLAgstx1JX*yjCgcVVtjcXpSxpHrnwLIa8011ecWDi8P9LD2yGeGwdHsYpTe66yLgaj0uHPzh5Lr/centralafricanreprap.gif?width=650)
WASAFIRI RAIA WA CAMEROON WATEKWA NYARA
Wasafiri kadhaa raia wa Cameroon wameripotiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana karibu na mpaka wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, watu hao 15 wametekwa nyara na watu wenye silaha wa kundi linaloongozwa na mtu mmoja anayetambulika kwa jina la Abdoulaye Miskine, huko kaskazini mashariki mwa Cameroon karibu na mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Chanzo kimoja cha usalama nchini Cameroon...
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq
Watu wenye silaha wamewateka nyara wawindani 27 kutoka Qatar, miongoni mwao watu wa familia ya kifalme.
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Zaidi ya watu 60 wauawa Syria
Zaidi ya watu 60 wameuwawa, katika mashambulio kadhaa ya angani yaliyofanywa na majeshi ya serikali ya Syria.
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Misaada zaidi yahitajika Syria
Mkuu wa maswala ya kibinaadam wa umoja wa mataifa,Valerie Amos ataka misaada zaidi ipelekwe Syria
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania