Wanafunzi 200 watekwa nyara Nigeria
Polisi nchini Nigeria wanasema kuwa shule ya mabweni ya wasichana imeshambuliwa katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Wanawake zaidi watekwa nyara Nigeria
Inaripotiwa kuwa wanawake pamoja na wasichana sitini wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria wiki iliyopita.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Wasichana zaidi watekwa nyara Nigeria
Washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiisilamu nchini Nigeria, Boko Haram, wamewateka nyara wasichana wengine 8 Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Wapiganaji watekwa nyara, Syria
Baadhi ya askari kutoka katika kikosi cha polisi, kilichoundwa na wapiganaji wa Islamic State, wametekwa nyara.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZw9oy-V3TakgLAgstx1JX*yjCgcVVtjcXpSxpHrnwLIa8011ecWDi8P9LD2yGeGwdHsYpTe66yLgaj0uHPzh5Lr/centralafricanreprap.gif?width=650)
WASAFIRI RAIA WA CAMEROON WATEKWA NYARA
Wasafiri kadhaa raia wa Cameroon wameripotiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana karibu na mpaka wa Jamhuri ya Afrika ya Kati. Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, watu hao 15 wametekwa nyara na watu wenye silaha wa kundi linaloongozwa na mtu mmoja anayetambulika kwa jina la Abdoulaye Miskine, huko kaskazini mashariki mwa Cameroon karibu na mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Chanzo kimoja cha usalama nchini Cameroon...
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wakristu zaidi watekwa nyara Syria
Kuna hofu kuwa raia wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State.
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq
Watu wenye silaha wamewateka nyara wawindani 27 kutoka Qatar, miongoni mwao watu wa familia ya kifalme.
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Wakamatwa na nyara za mil. 200/-
WATU sita wakazi wa wilayani ya Manyoni mkoani Singida, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200....
11 years ago
BBCSwahili10 Jun
Wanawake 20 wanaume 3 watekwa Nigeria
Wanawake 20 na wanaume watatu wametekwa nyara Kaskazini Mashariki mwa Nigeria na watu wanaoshukiwa kuwa wanachama wa Boko Haram.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Watu 33 wauawa,100 watekwa Nigeria
Wanamgambo wamevamia kijiji kimoja kazkazini mashariki mwa Nigeria na kuwaua takriban watu 33.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania