Wasomali wawili mbaroni Tanga
NA WAANDISHI WETU, TANGA
JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), limewatia mbaroni watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa na asili ya Somalia katika msako unaoendelea dhidi ya kundi la wahalifu wa silaha mkoani Tanga.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi mjini hapa, kiliiambia MTANZANIA kuwa watu hao walikamatwa jana saa 5 asubuhi katika eneo la Kijiji cha Amboni Mafuriko, baada ya kuonekana katika eneo hilo wakiwa wanashangaa na hawajui...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Oct
Wawili mbaroni tuhuma za ujambazi
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu wawili wanaodaiwa kuwa ni majambazi, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali wanazotumia kufanyia uhalifu wilayani Rombo.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Wawili mbaroni kwa meno ya tembo
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia Fatuma Athumani (50) na Joel Antony kwa tuhuma za kukutwa na vipande tisa vya meno ya tembo ndani ya gari lenye namba ya usajili...
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wawili watiwa mbaroni kwa ‘unga’
11 years ago
Michuzi18 Jun
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Askari wa JWTZ mbaroni akituhumiwa kuua wawili
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwateka watoto
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Askari wawili mbaroni kwa kuteka magari
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Askari wawili mbaroni kwa fedha bandia