Washukiwa wawili wa shambulizi ya Mpeketoni watiwa mbaroni
Kwa hisani ya KTN
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wawili watiwa mbaroni kwa ‘unga’
Kikosi cha Polisi cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia), kimewakamata mkazi wa Ilala na raia wa Nigeria, kwa tuhuma za kukutwa na begi lenye kilo 4.8 za dawa zinazodhaniwa kuwa ni za kulevya.
10 years ago
MichuziNEWSSSSS ALERT!!!!!!!!!! MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA NA WAWILI WATIWA MBARONI
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiMAJAMBAZI waliovamia Kituo cha Stakishari jijini Dar es Salaam watatu wauwawa na wawili watiwa mbaroni wakati wakitupiana risasi katika eneo la Tuangoma, Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la kukamatwa na kuuawa kwa majambazi hao lilitokea Julai 17 mwaka huu huko maeneo ya Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam, na majambazi wa tukio la kinyama la kuuwawa kwa askari wanne na raia watatu katika kituo cha Stakishari wanakadiriwa kuwa kati ya 16 hadi...
Tukio hilo la kukamatwa na kuuawa kwa majambazi hao lilitokea Julai 17 mwaka huu huko maeneo ya Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam, na majambazi wa tukio la kinyama la kuuwawa kwa askari wanne na raia watatu katika kituo cha Stakishari wanakadiriwa kuwa kati ya 16 hadi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u2i2RN9rNfw/VMJnFqCEm2I/AAAAAAAG_LY/IaQD5wuNF60/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wawili watiwa mbaroni katika tukio la Ujambazi,Darajani Zanzibar mchana wa leo
Watuhumiwa wawili katika tukio la Ujambazi lililotokea Mchana wa leo eneo la Darajani Jua Kali,Zanzibar wametiwa mbaroni baada ya kuzidiwa nguvu na wananchi wenye hasira wakati walipokuwa wakiwakimbia Polisi.
Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...
Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mpeketoni:Washukiwa 5 wauawa
Serikali ya Kenya inasema kuwa washukiwa watano wa mauaji ya watu 50 mjini Mpeketoni Pwani mwa Kenya wameuawa.
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa
Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.
11 years ago
BBCSwahili17 Jun
Shambulizi lengine lakumba Mpeketoni
Shambulizi lengine limetokea katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu ,pwani ya Kenya na kusababisha vifo vya watu 10
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUnI7yVqxrQT8AipboQogleXA*DidApPZiQiz6OJcpVg4BBmq2m35u6xEqhD2EiwiFaW6jEKEXnp1VQx*DPF8wOB/1.jpg?width=750)
POLISI UFARANSA YAUA WASHUKIWA SHAMBULIZI LA CHARLIE
Makomandoo wakirusha mabomu sambamba na moto katika Glosary kabla ya kumkabili mtekaji, Amedy Coulibaly.
Picha ikiwaonyesha maofisa polisi wakiwa wameuzunguka mwili wa mtekaji, Amedy Coulibaly.
Baadhi ya…
10 years ago
Habarileo16 Mar
Waethiopia 63 watiwa mbaroni
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia raia 63 wa Ethiopia na maiti mmoja ambao walikuwa wakisafirishwa na dereva Mtanzania kutoka Moshi kwenda Mbeya kwa kupitia njia za panya.
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Waethiopia 76 watiwa mbaroni
IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro kwa kusadiana na Jeshi la Polisi imewanasa wahamiaji haramu 76 raia wa Ethiopia walioingia nchini kinyume cha sheria wakiwa katika harakati za kutaka kusafirishwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania