Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Washukiwa wawili wa shambulizi ya Mpeketoni watiwa mbaroni

Kwa hisani ya KTN

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wawili watiwa mbaroni kwa ‘unga’

Kikosi cha Polisi cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia), kimewakamata mkazi wa Ilala na raia wa Nigeria, kwa tuhuma za kukutwa na begi lenye kilo 4.8 za dawa zinazodhaniwa kuwa ni za kulevya.

 

10 years ago

Michuzi

NEWSSSSS ALERT!!!!!!!!!! MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA NA WAWILI WATIWA MBARONI

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

MAJAMBAZI waliovamia Kituo cha Stakishari jijini Dar es Salaam watatu wauwawa na wawili watiwa mbaroni wakati wakitupiana risasi katika eneo la Tuangoma, Kigamboni jijini Dar es Salaam.


Tukio hilo la kukamatwa na kuuawa kwa majambazi hao lilitokea Julai 17 mwaka huu huko maeneo ya Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam, na majambazi wa tukio la kinyama la kuuwawa kwa askari wanne na raia watatu katika kituo cha Stakishari wanakadiriwa kuwa kati ya 16 hadi...

 

10 years ago

Michuzi

Wawili watiwa mbaroni katika tukio la Ujambazi,Darajani Zanzibar mchana wa leo

Watuhumiwa wawili katika tukio la Ujambazi lililotokea Mchana wa leo eneo la Darajani Jua Kali,Zanzibar wametiwa mbaroni baada ya kuzidiwa nguvu na wananchi wenye hasira wakati walipokuwa wakiwakimbia Polisi.

Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mpeketoni:Washukiwa 5 wauawa

Serikali ya Kenya inasema kuwa washukiwa watano wa mauaji ya watu 50 mjini Mpeketoni Pwani mwa Kenya wameuawa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa mauaji Mpeketoni wakamatwa

Polisi nchini Kenya wamesema kuwa wamewakamata washukiwa kadhaa wa mashambulizi yaliyofanyika mjini Mpeketoni na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 60.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lengine lakumba Mpeketoni

Shambulizi lengine limetokea katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu ,pwani ya Kenya na kusababisha vifo vya watu 10

 

10 years ago

GPL

POLISI UFARANSA YAUA WASHUKIWA SHAMBULIZI LA CHARLIE

Makomandoo wakirusha mabomu sambamba na moto katika Glosary kabla ya kumkabili mtekaji, Amedy Coulibaly.
Picha ikiwaonyesha maofisa polisi wakiwa wameuzunguka mwili wa mtekaji, Amedy Coulibaly.
Baadhi ya…

 

10 years ago

Habarileo

Waethiopia 63 watiwa mbaroni

Kundi la wahamiaji haramu 63 likiwa chini ya ulinzi katika kijiji cha Kidoka wilaya ya Chemba mkoani Dodoma baada ya kukamatwa na polisi kwa kuingia nchini bila hati. Mmoja wa wahamiaji hao alikutwa amekufa. (Na Mpigapicha Wetu).JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia raia 63 wa Ethiopia na maiti mmoja ambao walikuwa wakisafirishwa na dereva Mtanzania kutoka Moshi kwenda Mbeya kwa kupitia njia za panya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waethiopia 76 watiwa mbaroni

IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Kilimanjaro kwa kusadiana na Jeshi la Polisi imewanasa wahamiaji haramu 76 raia wa Ethiopia walioingia nchini kinyume cha sheria wakiwa katika harakati za kutaka kusafirishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani