Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali
Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu wawili akiwemo dereva wa gari mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa wakiwa na mizoga miwili ya nyamapori aina ya swala kinyume cha sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Jan
Tanapa Katavi yatia mbaroni 11 kwa nyara za mil. 532/-
JESHI la Polisi mkoani Katavi kwa kushirikiana na askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), wamefanikisha kukamata watu 11 wanaohutumiwa kumiliki nyara za serikali, yakiwemo meno ya tembo yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 532.5 kati ya Desemba 24, 2014 na Desemba 30 mwaka 2015.
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Ashikiliwa kwa nyara za Serikali
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Wawili watiwa mbaroni kwa ‘unga’
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Wawili mbaroni kwa meno ya tembo
JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia Fatuma Athumani (50) na Joel Antony kwa tuhuma za kukutwa na vipande tisa vya meno ya tembo ndani ya gari lenye namba ya usajili...
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Askari wawili mbaroni kwa fedha bandia
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwateka watoto
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Wawili mbaroni kwa mauaji ya sista Dar
EVA MBESELE NA RACHEL KYALA
JESHI la Polisi limewakamata watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha Mtawa wa Kanisa Katoliki, Clesencia Kapuri (50) aliyeuawa Juni 23, mwaka huu, huko Ubungo Kibangu, Dar es Salaam.
Majambazi hao licha ya kuhusishwa na tukio hilo na kupora sh. milioni 20, pia walikuwa wakitafutwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za tukio la uporaji wa fedha katika benki ya Barclays tawi la Kinondoni.
Hata hivyo, kinara wa ujambazi katika tukio la uporaji kwenye benki hiyo,...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Askari wawili mbaroni kwa kuteka magari
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali
OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...