Tanapa Katavi yatia mbaroni 11 kwa nyara za mil. 532/-
JESHI la Polisi mkoani Katavi kwa kushirikiana na askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), wamefanikisha kukamata watu 11 wanaohutumiwa kumiliki nyara za serikali, yakiwemo meno ya tembo yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 532.5 kati ya Desemba 24, 2014 na Desemba 30 mwaka 2015.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Mbaroni Katavi kwa kumuua dereva wa Bodaboda
POLIISI wilayani Mpanda, Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua dereva wa pikipiki ‘Bodabodai, Frank Joseph (25), mkazi wa mtaa wa Nsemlwa kwa kumchinja shigo na kisha kumpora pikipiki...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Wakamatwa na nyara za mil. 200/-
WATU sita wakazi wa wilayani ya Manyoni mkoani Singida, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200....
11 years ago
Habarileo12 Jul
Manyoni wakamata nyara za mil 202.5/-
SERIKALI wilayani Manyoni Mkoani Singida imefanikiwa kukamata nyara mbalimbali za serikali zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 202.5.
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Waganga 13 wa jadi watiwa mbaroni Katavi
NA WALTER MGULUCHUMA, KATAVI
JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi, limewakamata waganga 13 wa jadi katika Tarafa ya Mamba, Wilaya ya Mlele, kwakudaiwa kufanya kazi hiyo bila vibali maalumu.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari, aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba, waganga hao walikamatwa baada ya msako uliofanyika Machi 14 na 15 mwaka huu.
Pamoja na waganga hao kukamatwa, pia walipopekuliwa kwenye nyumba zao walikutwa na vitu mbalimbali wanavyovitumia kufanyia shughuli...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DHe8tUiy8Q/UvPctsSehNI/AAAAAAAFLTY/fRwdUU9H6XE/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TANAPA WAWATIA MBARONI WAUZAJI WA PEMBE FEKI ZA FARU
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DHe8tUiy8Q/UvPctsSehNI/AAAAAAAFLTY/fRwdUU9H6XE/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lw07RrWuFDM/UviOUAeeKMI/AAAAAAAFMCU/VNNjrgPwSWc/s72-c/KITABU+MKOA+KATAVI+FINAL28.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
TBL yatia mkono wiki ya nenda kwa usalama
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekabidhi sh million 24 kwa Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani ili kuwezesha upimaji wa afya kwa madereva. Zaidi ya madereva 2,500 watanufaika na...