Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanapa Katavi yatia mbaroni 11 kwa nyara za mil. 532/-

JESHI la Polisi mkoani Katavi kwa kushirikiana na askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), wamefanikisha kukamata watu 11 wanaohutumiwa kumiliki nyara za serikali, yakiwemo meno ya tembo yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 532.5 kati ya Desemba 24, 2014 na Desemba 30 mwaka 2015.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wawili mbaroni kwa nyara za Serikali

Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu wawili akiwemo dereva wa gari mali ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa wakiwa na mizoga miwili ya nyamapori aina ya swala kinyume cha sheria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni Katavi kwa kumuua dereva wa Bodaboda

POLIISI wilayani Mpanda, Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua dereva wa pikipiki ‘Bodabodai, Frank Joseph (25), mkazi wa mtaa wa Nsemlwa kwa kumchinja shigo na kisha kumpora pikipiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakamatwa na nyara za mil. 200/-

WATU sita wakazi wa wilayani ya Manyoni mkoani Singida, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200....

 

11 years ago

Habarileo

Manyoni wakamata nyara za mil 202.5/-

SERIKALI wilayani Manyoni Mkoani Singida imefanikiwa kukamata nyara mbalimbali za serikali zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 202.5.

 

10 years ago

Mtanzania

Waganga 13 wa jadi watiwa mbaroni Katavi

NA WALTER MGULUCHUMA, KATAVI
JESHI la Polisi Mkoa wa Katavi, limewakamata waganga 13 wa jadi katika Tarafa ya Mamba, Wilaya ya Mlele, kwakudaiwa kufanya kazi hiyo bila vibali maalumu.
Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Katavi, Dhahiri Kidavashari, aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba, waganga hao walikamatwa baada ya msako uliofanyika Machi 14 na 15 mwaka huu.
Pamoja na waganga hao kukamatwa, pia walipopekuliwa kwenye nyumba zao walikutwa na vitu mbalimbali wanavyovitumia kufanyia shughuli...

 

11 years ago

Michuzi

TANAPA WAWATIA MBARONI WAUZAJI WA PEMBE FEKI ZA FARU


Mmoja wa watuhumiwa akiwa na 'mzigo' wake ambao ni feki...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TBL yatia mkono wiki ya nenda kwa usalama

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekabidhi sh million 24 kwa Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani ili kuwezesha upimaji wa afya kwa madereva. Zaidi ya madereva 2,500 watanufaika na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani