Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manyoni wakamata nyara za mil 202.5/-

SERIKALI wilayani Manyoni Mkoani Singida imefanikiwa kukamata nyara mbalimbali za serikali zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 202.5.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakamatwa na nyara za mil. 200/-

WATU sita wakazi wa wilayani ya Manyoni mkoani Singida, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali zenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 200....

 

9 years ago

Habarileo

Tanapa Katavi yatia mbaroni 11 kwa nyara za mil. 532/-

JESHI la Polisi mkoani Katavi kwa kushirikiana na askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), wamefanikisha kukamata watu 11 wanaohutumiwa kumiliki nyara za serikali, yakiwemo meno ya tembo yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 532.5 kati ya Desemba 24, 2014 na Desemba 30 mwaka 2015.

 

9 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Manyoni yatumia zaidi ya Mil.99 kuwalipa mishahara Watendaji wa Vijiji wasiokuwa na vituo vya kazi

SAM_0400

Afisa utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bi Pinina (wa kwanza kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri hiyo waliohudhuria kwenye uzinduzi wa mkutano wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi.

SAM_0396

Diwani wa kata ya Mgandu, Bwana Martini Kapona (aliyevaa shada la maua) mara tu baada ya kula kiapo cha utii cha kuwatumikia wananchi wate waliomchagua na wasiomchagua.

SAM_0399

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bw.Supeet Roine Mseya (wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Manyoni kuondoa ombaomba kandokando ya barabara kuu ya Dodoma-Manyoni

DSC07183

Mkuu wa Wilaya ya Manyoni, Bi Fatma Hassani Toufiq katika moja ya shughuli za kujenga taifa mkoani Singida.(Picha na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly,Manyoni        

MAKAZI ya walemavu na wasiojiweza ya Sukamahela,wilayani Manyoni,Mkoani Singida yalianzishwa mwaka 1974 katika Kijiji cha Sukamahela,kata na tarafa ya Kilimatinde chini ya Idara ya Ustawi wa jamii kwa dhamana ya serikali.

Makazi hayo yaliyoanzishwa mwaka 1974 yalikuwa na walemavu 148 wakiwemo wanaume 57,wanawake  51,watoto wa...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

5 years ago

Michuzi

KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3




………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-

ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Tukikutna Tena Nitaweka Mil 10, Ray Aweke Mil 3!

“Kijana shupavu mjukuu wa Kigosi, bado sijamuona. Habari njema aliweka million yake ili ale million mbili, biashara nzuri sana hii nimeshakula mil 2 zako.sasa nakupa offer. tukikutana safari hii weka milion tatu naweka milion kumi. Lazima nikuvutie maana nimeambiwa hutaki tena changamka hutaki kukomboa hela zako???”-JB abandika andiko hili mtandaoni baada ya kuweka picha ya Ray.

Ray bado ajapatikana kujibu hii. Dah kufungwa noma sana.

 

 

11 years ago

Habarileo

Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-

ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani