Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB:Tukikutna Tena Nitaweka Mil 10, Ray Aweke Mil 3!

“Kijana shupavu mjukuu wa Kigosi, bado sijamuona. Habari njema aliweka million yake ili ale million mbili, biashara nzuri sana hii nimeshakula mil 2 zako.sasa nakupa offer. tukikutana safari hii weka milion tatu naweka milion kumi. Lazima nikuvutie maana nimeambiwa hutaki tena changamka hutaki kukomboa hela zako???”-JB abandika andiko hili mtandaoni baada ya kuweka picha ya Ray.

Ray bado ajapatikana kujibu hii. Dah kufungwa noma sana.

 

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

GONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!

Na Joseph Shaluwa na Musa Mateja
MARADHI yanayomsumbua mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ni tishio, Gazeti la Mastaa, Amani limeelezwa. Mwanamuziki maarufu wa Bongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akiwa hoi hospitali. Ray C anaugua ugonjwa wa Homa ya Dengu ambao kitaalam hujulikana kama Dangue Fever. Ulibainika baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Hospitali ya Mkoa...

 

5 years ago

Michuzi

KOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3




………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-

ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.

 

11 years ago

Habarileo

Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-

ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.

 

11 years ago

GPL

YANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-

Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' (katikati) akipiga shuti wakati timu yake ikicheza na Rhino Rangers uwanja wa Taifa jana. Mechi za Ligi Kuu ya Vodacom zilizohusisha timu za Simba na Yanga na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wikiendi zimeingiza jumla ya sh. 139,850,000. Mrisho Ngassa wa Yanga (kushoto) akipiga mpira huku akizongwa na mchezaji wa Ashanti katika mechi yao uwanja wa Taifa juzi. Yanga… ...

 

10 years ago

Bongo5

Shughuli za kijamii zamfanya Ray C aweke muziki pembeni kwa muda hadi November

Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila aka Ray C ambaye pia alianzisha taasisi ya kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ‘Ray C Foundation’, asema kazi ya kuwaokoa vijana walioingia kwenye dibwi la matumizi ya madawa hayo imemfanya auweke muziki pembeni. Ray C ameiambia Bongo5 kuwa tangu January mwaka huu alikuwa na mpango wa kuachia […]

 

11 years ago

GPL

SH. MIL. 60 KUMALIZA...

Stori: Haruni Sanchawa na Shakoor Jongo
HABARI zilizotua kwenye meza ya Uwazi juzi zinadai kuwa familia mbili, ya Emmanuel na Flora Mbasha zimeweka kikao kwa siku tatu mfululizo kutaka kuinusuru ndoa ya wawili hao lakini imeshindikana huku pembeni ikidaiwa kwamba ili mambo yakae sawa lazima Mbasha alipe shilingi milioni 60. Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili Bongo Flora Mbasha. Kwa mujibu wa chanzo chetu, kikao hicho...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mil. 2 wapata vitambulisho

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Perreira Ame Sillima, amesema tayari Watanzania zaidi ya milioni mbili wamepatiwa vitambulisho vya taifa. Akizungumzia mafanikio na changamoto za wizara hiyo kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Akamatwa na heroine za mil 64/-

MKAZI wa Tabata Liwiti, Dar es Salaam, Maulid Mfaume (36) amekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA) akiwa na pipi 83 za dawa za kulevya aina ya heroin, zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Sh milioni 64 zikiwa tumboni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani