YANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-
Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' (katikati) akipiga shuti wakati timu yake ikicheza na Rhino Rangers uwanja wa Taifa jana. Mechi za Ligi Kuu ya Vodacom zilizohusisha timu za Simba na Yanga na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wikiendi zimeingiza jumla ya sh. 139,850,000. Mrisho Ngassa wa Yanga (kushoto) akipiga mpira huku akizongwa na mchezaji wa Ashanti katika mechi yao uwanja wa Taifa juzi. Yanga… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s7CfZDiFJ4I/VEYJb-sw94I/AAAAAAAGsHY/HYa6spTUgHY/s72-c/800.jpg)
MECHI YA YANGA, SIMBA YAINGIZA MIL 427/-
![](http://4.bp.blogspot.com/-s7CfZDiFJ4I/VEYJb-sw94I/AAAAAAAGsHY/HYa6spTUgHY/s1600/800.jpg)
Washabiki 49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 65,176,932 wakati asilimia 5 ya gharama ya tiketi kwa CRDB ni sh. 21,363,550.
Kwa upande wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa...
10 years ago
Vijimambo20 Oct
MECHI YA YANGA v/s SIMBA YAINGIZA SH. MIL 427/-
![](http://udakunews.com/wp-content/uploads/2014/09/simbayanga.jpg)
Washabiki 49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 65,176,932 wakati asilimia 5 ya gharama ya tiketi kwa CRDB ni sh. 21,363,550.
Kwa upande wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira...
11 years ago
GPLMECHI YA AZAM, SIMBA YAINGIZA MIL 26/-
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lpeON3ZWSrE/UxRY9XxXouI/AAAAAAAFQxE/J4StqDCqVyU/s72-c/MMG25630.jpg)
MECHI YA YANGA, AHLY YAINGIZA MIL 488
![](http://3.bp.blogspot.com/-lpeON3ZWSrE/UxRY9XxXouI/AAAAAAAFQxE/J4StqDCqVyU/s1600/MMG25630.jpg)
Mapato hayo yametokana na watazamaji 50,202 waliokata tiketi kushuhudia pambano hilo kwa viingilio vya sh. 7,000, sh. 13,000, sh. 25,000 na sh. 35,000. Yanga ilishinda mechi hiyo kwa bao 1-0.
Mgawo wa mapato hayo ulikuwa kama ifuatavyo; Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ni sh. 68,402,135.59, gharama za kuchapa tiketi ni sh....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Xt4wQ_c-4iA/VP3U6AZWGjI/AAAAAAAHJJU/_8RQay9uqmc/s72-c/MMGL0115.jpg)
SIMBA, YANGA ZAINGIZA MIL 436
![](http://2.bp.blogspot.com/-Xt4wQ_c-4iA/VP3U6AZWGjI/AAAAAAAHJJU/_8RQay9uqmc/s1600/MMGL0115.jpg)
Watazamaji 309 walikata tiketi za VIP A, 1,310 VIP B, 1,533 VIP C, Rangi ya Machungwa (Orange) 9,913 huku viti vya rangi ya bluu na kijani wakiingia watazamaji 36,693.
Mgawanyo wa mapato ya mchezo huo ni VAT 18% sh.66,623.796, FDF timu mwenyeji sh. 17,415,300, FDF TFF sh.7,463,700, Gharama za tiketi...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Mechi ya Watani yaingiza mil. 423/-
MECHI ya watani wa jadi, Simba na Yanga, iliyochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kuhitimisha siku 75 za kampeni ya Nani Mtani Jembe, imeingiza kiasi cha...