MECHI YA YANGA v/s SIMBA YAINGIZA SH. MIL 427/-
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba iliyochezwa juzi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 427,271,000.
Washabiki 49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 65,176,932 wakati asilimia 5 ya gharama ya tiketi kwa CRDB ni sh. 21,363,550.
Kwa upande wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s7CfZDiFJ4I/VEYJb-sw94I/AAAAAAAGsHY/HYa6spTUgHY/s72-c/800.jpg)
MECHI YA YANGA, SIMBA YAINGIZA MIL 427/-
![](http://4.bp.blogspot.com/-s7CfZDiFJ4I/VEYJb-sw94I/AAAAAAAGsHY/HYa6spTUgHY/s1600/800.jpg)
Washabiki 49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 65,176,932 wakati asilimia 5 ya gharama ya tiketi kwa CRDB ni sh. 21,363,550.
Kwa upande wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa...
11 years ago
GPLMECHI YA AZAM, SIMBA YAINGIZA MIL 26/-
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lpeON3ZWSrE/UxRY9XxXouI/AAAAAAAFQxE/J4StqDCqVyU/s72-c/MMG25630.jpg)
MECHI YA YANGA, AHLY YAINGIZA MIL 488
![](http://3.bp.blogspot.com/-lpeON3ZWSrE/UxRY9XxXouI/AAAAAAAFQxE/J4StqDCqVyU/s1600/MMG25630.jpg)
Mapato hayo yametokana na watazamaji 50,202 waliokata tiketi kushuhudia pambano hilo kwa viingilio vya sh. 7,000, sh. 13,000, sh. 25,000 na sh. 35,000. Yanga ilishinda mechi hiyo kwa bao 1-0.
Mgawo wa mapato hayo ulikuwa kama ifuatavyo; Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ni sh. 68,402,135.59, gharama za kuchapa tiketi ni sh....
11 years ago
GPLYANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Mechi ya Watani yaingiza mil. 423/-
MECHI ya watani wa jadi, Simba na Yanga, iliyochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kuhitimisha siku 75 za kampeni ya Nani Mtani Jembe, imeingiza kiasi cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrvT8ZigpHppbsXF7xw*bdebYCRVUUDZkl6DnspOLPDK4VK2d2MBQRz8eL-xuc6caBBNK4tVYrXlx5jBKpdB0Jt/SIMBANAYANGA35.jpg?width=650)
MECHI YA MTANI JEMBE YAINGIZA MIL 422/-
11 years ago
Michuzi24 Feb
YANGA SC NA SHOOTING YAINGIZA FEDHA NYINGI KULIKO SIMBA NA JKT RUVU
Na Boniface Wambura, Dar es Salaam MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zilizohusisha timu za Yanga na Simba, na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh. 101,165,000.Yanga ambayo iibugiza Ruvu Shooting mabao 7-0 mechi yake iliingiza sh. 68,450,000 kutokana na washabiki 11,972 kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000.Katika mechi hiyo kila klabu ilipata mgao wa sh. 15,687,488 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na...