MECHI YA MTANI JEMBE YAINGIZA MIL 422/-
Mechi ya Nani Mtani Jembe kati ya Yanga na Simba iliyochezwa juzi (Desemba 21 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na Simba kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 imeingiza sh. 422,611,000. Mapato hayo ni kutokana na washabiki 52,589 waliokata tiketi kushuhudia mechi hiyo kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 15,000, sh. 20,000 na sh. 40,000. Kiingilio cha sh. 5,000 ndicho kilichovutia watazamaji wengi ambapo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTASWIRA ZA MECHI YA NANI MTANI JEMBE
11 years ago
GPLLIVE MECHI YA MTANI JEMBE: SIMBA 2 - 0 YANGA
10 years ago
Vijimambo11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
TBL yajivunia msisimko mechi Nani Mtani Jembe
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) iliyoratibu kampeni ya Nani Mtani Jembe iliyoanza Oktoba 6 na kuhitimishwa juzi kwa mechi ya Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam...
10 years ago
MichuziSimba yaifunga ya 5-4 katika mechi ya nani mtani jembe dubai
10 years ago
Michuzi14 Dec
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Mechi ya Watani yaingiza mil. 423/-
MECHI ya watani wa jadi, Simba na Yanga, iliyochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kuhitimisha siku 75 za kampeni ya Nani Mtani Jembe, imeingiza kiasi cha...
11 years ago
GPLMECHI YA AZAM, SIMBA YAINGIZA MIL 26/-