Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA MECHI YA NANI MTANI JEMBE

Mashabiki wa Yanga wakishangilia. Haruna Shamte akiambaa na mpira. Uhuru Selemani…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA NANI MTANI JEMBE


Find more photos like this on Global…

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBL yajivunia msisimko mechi Nani Mtani Jembe

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) iliyoratibu kampeni ya Nani Mtani Jembe iliyoanza Oktoba 6 na kuhitimishwa juzi kwa mechi ya Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam...

 

10 years ago

Michuzi

Simba yaifunga ya 5-4 katika mechi ya nani mtani jembe dubai

Kikosi cha Simba kimetoka kidedea kwa bao 5-4 kwenye match ya watani wa jadi Yanga katika mechi ya Nani Mtani Jembe huko Dubai.Mpambano huo uliokuwa mkali sana ulianza kwa Yanga kupata penalty 2 kwa mpigi lakini moja iliokolewa na goal keeper na nahodha wa Simba Ali Yusuf. Magoli ya Simba yalifungwa na Matama Chesama (DJ Tama) 3, Tariq Mbarak 1,na Thani 1.magoli ya Yanga yalifungwa Yunus 2, Waleed 1, na Kulwa 1.Yanga imeendelea kuwa mteja wa Simba Sports club hadi huko Dubai. Kikosi cha...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

NANI MTANI JEMBE?......MNYAMAAAAAA!

Haruna Shamte akiwa amenyanyua juu Kombe la Mtani Jembe alilokabidhiwa na Mgeni Rasmi, Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe (mwenye suti nyeusi kulia) baada ya kuwashushia kichapo cha mabao 3-1 Watani Wao, Yanga SC katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar leo jioni.
Mshambuliaji wa Simba aliyepeleka kilio Jangwani kwa kuwatungua mabao mawili, Amissi Tambwe akishangilia… ...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE

 Awadh Juma na Jonas Mkude wakishangilia moja ya magoli ya Simba. (Picha ya maktaba).Mabingwa wa Kombe la Nani Mtani Jembe, Simba SC ya Msimbazi jijini Dar es Salaam wameshawanyanyuka vitini kufuatia bao la kuongozwa lililotumbukizwa kimiani na Mchezaji wake Awadh Juma.
Goli la pili la Simba limeweka wavuna na Elius Maguli na kuifanya Yanga kuzidi kutweta huku Simba wakizidi kuliandama lango la Yanga.

Mchezo huo wa kuania kombe la Nani Mtani Jembe 2014 bado unaendelea Uwanja wa Taifa jijini...

 

10 years ago

GPL

Nani mtani jembe: tumuachie Mungu

Mchezaji wa Yanga, Kpah Sherman. Na Wilbert Molandi  
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, amekiangalia kikosi chake kwa makini na ghafla akachukua maamuzi magumu ya kuwaanzisha wachezaji wapya wawili waliotua kwa ajili ya majaribio, kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe. Wachezaji hao waliotua Jumatano kwenye kambi yao waliyoweka huko Unguja, Zanzibar ni Simon Sserunkuma, 18, aliyetokea Express na Juuko Murushid...

 

10 years ago

Michuzi

hayaaa! hayaaaaaa! nani mtani jembe leo???

Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 inafanyika jioni hii ya Jumamosi katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu  zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo.

 

11 years ago

Mwananchi

Viingilio pambano la promosheni ya Nani Mtani Jembe

>Homa ya pambano la mahasimu wa soka nchini imezidi kupanda baada ya jana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuweka wazi viingilio vya mchezo huo ambao utakuwa na upinzani mkali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani