MECHI YA AZAM, SIMBA YAINGIZA MIL 26/-
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Azam na Simba iliyochezwa jana (Machi 30 mwaka huu) Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imeingiza sh. 26,455,000. Watazamaji 4,741 walikata tiketi kushuhudia pambano hilo ambapo Azam iliibuka na ushindi wa mabao 2-1. Viingilio vilikuwa sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000. Mgawanyo kwa mapato ulikuwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) sh. 4,035,508.47, gharama za kuchapa tiketi sh....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Oct
MECHI YA YANGA v/s SIMBA YAINGIZA SH. MIL 427/-
![](http://udakunews.com/wp-content/uploads/2014/09/simbayanga.jpg)
Washabiki 49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 65,176,932 wakati asilimia 5 ya gharama ya tiketi kwa CRDB ni sh. 21,363,550.
Kwa upande wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s7CfZDiFJ4I/VEYJb-sw94I/AAAAAAAGsHY/HYa6spTUgHY/s72-c/800.jpg)
MECHI YA YANGA, SIMBA YAINGIZA MIL 427/-
![](http://4.bp.blogspot.com/-s7CfZDiFJ4I/VEYJb-sw94I/AAAAAAAGsHY/HYa6spTUgHY/s1600/800.jpg)
Washabiki 49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 65,176,932 wakati asilimia 5 ya gharama ya tiketi kwa CRDB ni sh. 21,363,550.
Kwa upande wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Mechi ya Watani yaingiza mil. 423/-
MECHI ya watani wa jadi, Simba na Yanga, iliyochezwa Jumamosi katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kuhitimisha siku 75 za kampeni ya Nani Mtani Jembe, imeingiza kiasi cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrvT8ZigpHppbsXF7xw*bdebYCRVUUDZkl6DnspOLPDK4VK2d2MBQRz8eL-xuc6caBBNK4tVYrXlx5jBKpdB0Jt/SIMBANAYANGA35.jpg?width=650)
MECHI YA MTANI JEMBE YAINGIZA MIL 422/-
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lpeON3ZWSrE/UxRY9XxXouI/AAAAAAAFQxE/J4StqDCqVyU/s72-c/MMG25630.jpg)
MECHI YA YANGA, AHLY YAINGIZA MIL 488
![](http://3.bp.blogspot.com/-lpeON3ZWSrE/UxRY9XxXouI/AAAAAAAFQxE/J4StqDCqVyU/s1600/MMG25630.jpg)
Mapato hayo yametokana na watazamaji 50,202 waliokata tiketi kushuhudia pambano hilo kwa viingilio vya sh. 7,000, sh. 13,000, sh. 25,000 na sh. 35,000. Yanga ilishinda mechi hiyo kwa bao 1-0.
Mgawo wa mapato hayo ulikuwa kama ifuatavyo; Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) ni sh. 68,402,135.59, gharama za kuchapa tiketi ni sh....
11 years ago
GPLYANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-