Mil. 2 wapata vitambulisho
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Perreira Ame Sillima, amesema tayari Watanzania zaidi ya milioni mbili wamepatiwa vitambulisho vya taifa. Akizungumzia mafanikio na changamoto za wizara hiyo kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
BCU wapata hasara ya Mil. 55/-
CHAMA cha Ushirika cha Biharamulo (BCU) kimepata hasara ya sh milioni 55.7 kutokana na uchakavu wa mitambo yake. Kwa mujibu wa ukaguzi uliofanywa na Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa...
11 years ago
GPLGONJWA LA RAY C HATARI, LAPUKUTISHA WATU MIL 2, MIL 100 WAAMBUKIZWA!
5 years ago
MichuziKOKA AKABIDHI BAISKELI 95 ZENYE THAMANI YA MIL.25 PAMOJA NA BARAKOA,NDOO,SANITIZER ZA MIL .3
………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA .
MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amekabidhi baiskeli 95 zenye thamani ya sh.milioni 25 kwa viongozi wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimboni humo ,kwa ajili ya urahisishaji wa utendaji kazi.
Aidha Koka ametoa ndoo za Maji,dawa ya kunawia mikono “Sanitizer” na barakoa zenye thamani ya sh.milioni 3 kwa ajili ya kutumika katika Ofisi za Chama za matawi na kata na kuwakumbusha kujihadhari dhidi ya Ugonjwa wa...
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
JB:Tukikutna Tena Nitaweka Mil 10, Ray Aweke Mil 3!
“Kijana shupavu mjukuu wa Kigosi, bado sijamuona. Habari njema aliweka million yake ili ale million mbili, biashara nzuri sana hii nimeshakula mil 2 zako.sasa nakupa offer. tukikutana safari hii weka milion tatu naweka milion kumi. Lazima nikuvutie maana nimeambiwa hutaki tena changamka hutaki kukomboa hela zako???”-JB abandika andiko hili mtandaoni baada ya kuweka picha ya Ray.
Ray bado ajapatikana kujibu hii. Dah kufungwa noma sana.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa ya mil 2/- ahukumiwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
Habarileo05 Aug
Hakimu aliyekula rushwa mil 2/- atozwa faini mil 1.5/-
ALIYEKUWA Hakimu Mkazi Mahakama Wilaya ya Urambo, Oscar Bulugu, amekutwa na hatia ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni 2.
11 years ago
GPLYANGA YAINGIZA MIL 86/-, SIMBA MIL 53/-
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Vitambulisho tanzania na hoja ya ughaibuni
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Tanzania mwenyeji wa jukwaa la vitambulisho
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
ZAIDI ya nchi 25 zinakutana nchini katika mkutano wa Jukwaa la Vitambulisho vya Elektroniki Afrika unaotarajia kuanza Dar es Salaam leo.
Mkutano huo pamoja na mambo mengine utajadili changamoto zilizopo katika masuala ya uandikishaji na kutafuta njia za kuzitatua.
Mkutano huo wa kwanza kufanyika katika Afrika unatarajiwa kufunguliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na kuhudhuriwa na zaidi ya washiriki 300 kutoka nje ya...