Shughuli za kijamii zamfanya Ray C aweke muziki pembeni kwa muda hadi November
Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila aka Ray C ambaye pia alianzisha taasisi ya kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ‘Ray C Foundation’, asema kazi ya kuwaokoa vijana walioingia kwenye dibwi la matumizi ya madawa hayo imemfanya auweke muziki pembeni. Ray C ameiambia Bongo5 kuwa tangu January mwaka huu alikuwa na mpango wa kuachia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s72-c/1.jpg)
TAMASHA LA PASAKA KUTIMIZA MIAKA 15 KWA KISHINDO,KUHUSISHA SHUGHULI MBALIMBALI ZA KIJAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vx9eeFFwZII/VOG2Q-InKKI/AAAAAAACz4s/LlUutAwbxoA/s1600/1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama amezungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo kinondoni Moroco hapo jana,kuhusiana na maandalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, Msama amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbaji wa muziki wa ...
10 years ago
StarTV17 Jan
Shughuli zasimama kwa muda Stendi ya mabasi Singida.
Na Emmanuel Michael,
Singida.
Shughuli mbalimbali katika Stendi kuu ya mabasi Mjini Singida, jana zilisimama kwa zaidi ya saa tano, baada ya wapigadebe na mawakala kufunga kwa lundo la mawe lango la kuingilia katika kituo hicho.
Hatua hiyo ilichukuliwa kama moja ya njia za kuushinikiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, kukifanyia matengenezo kipande cha barabara ya kuingia katika kituo hicho chenye mashimo makubwa na kuweka lami pamoja na ukarabati wa miundombinu mingine...
10 years ago
Bongo Movies11 Mar
JB:Tukikutna Tena Nitaweka Mil 10, Ray Aweke Mil 3!
“Kijana shupavu mjukuu wa Kigosi, bado sijamuona. Habari njema aliweka million yake ili ale million mbili, biashara nzuri sana hii nimeshakula mil 2 zako.sasa nakupa offer. tukikutana safari hii weka milion tatu naweka milion kumi. Lazima nikuvutie maana nimeambiwa hutaki tena changamka hutaki kukomboa hela zako???”-JB abandika andiko hili mtandaoni baada ya kuweka picha ya Ray.
Ray bado ajapatikana kujibu hii. Dah kufungwa noma sana.
9 years ago
Bongo530 Oct
Afande Sele kuweka muziki pembeni, kugeukia kilimo
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo521 Sep
Baada ya kuolewa Meninah asimama kufanya muziki kwa muda!
10 years ago
Michuzi11 Mar
MSIKILIZE DJ CHOKA HAPA NA UNDANI WA NITALALA UZEENI NA MWANAE ALIVYOMFANYA AACHE MUZIKI KWA MUDA
![NITALALA UZEENI BY DJ CHOKA](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/9naVYr-7vG-KQ0UvDESJip2MJn3zBlvvxpqHSPdVG2fRiICkoW1TvY11X8rTGKLecZE7z-fSOQW--RqrM-qcncyTGTVRFIHo6CpNO0M7F6jhnvDORPFJdON3sxMYdcJBjG4VsRdQjtOm1o1Ahg=s0-d-e1-ft#http://vmgafrica.com/wp-content/uploads/2015/03/NITALALA-UZEENI-BY-DJ-CHOKA-300x300.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Dj wa kike kutoka Nigeria, maarufu ‘DJ Cuppy’ atua nchini afanya shughuli za kijamii
DJ Cuppy katika moja ya kazi zake..
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s72-c/unnamed+(51).jpg)
MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM MKOA WA MBEYA YAIVA,KINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII.
![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YT44MPu7bAI/UuzJAFw0WAI/AAAAAAACZy8/s5gGAoVZvvg/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Bi.Magreth Kalimwa mara baada ya kuwasili kwenye shamba lake kwa ajili ya kushiriki kupalilia shamba hilo lenye ekari moja...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Korea ya Kusini kufanya shughuli za kijamii nyumba za kutunza wazee Zanzibar
Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } ukiongozwa na Rais wake Nd. Steven Katemba ukijitambulisha rasmi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar mara baada ya kucgauliwa rasmi mwezi Mei Mwaka huu. Nyuma ya Ndugu Steven ni Makamu wa Rais wa Jumuiya hiyo kwa upande wa Zanzibar NduguBukheit Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akiwa katika picha ya...