Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSIKILIZE DJ CHOKA HAPA NA UNDANI WA NITALALA UZEENI NA MWANAE ALIVYOMFANYA AACHE MUZIKI KWA MUDA

NITALALA UZEENI BY DJ CHOKAWakati tukiisubiri siku ya Ijumaa ya tarehe 13 March 2015 kuusikiliza Wimbo Mpya kutoka kwa DjChoka Alioubariki jina la "NITALALA UZEENI", Basi Tunakupa nafasi ya Kumsikiliza Dj Choka akiuzungumzia Kiundani wimbo huo ambao anaamini Kuwa Mashabiki wake Watauelewa sana haswa Vijana.Akizungumza na DjHaazu wa Mambo Jambo Radio Arusha Kupitia Kipindi cha DUNDO Choka amesema NITALALA UZEENI ni wimbo flani unaoelezea Zaidi jinsi ambavyo Watu wanaHustle kila kukicha na Kula Bata huku wakiamini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: DJ Choka Ft. Young Lunya, Country Boy, Deddy, Climax Bibo & Bgway – Nitalala Uzeeni

Wimbo mpya kutoka kwa Dj Choka akiwashirikisha Young Lunya, Country Boy, Deddy, Climax Bibo & Bgway wimbo unaitwa “Nitalala Uzeeni” Studio A.M Records

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.

Afande-Sele-nzuri_full

Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.

“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kuolewa Meninah asimama kufanya muziki kwa muda!

Baada ya kuolewa muimbaji wa ‘Shaghala Baghala’, Meninah Atick amesema amesimama kufanya muziki kwa muda. Akizungumza na kipindi cha Friday Night Live cha EATV hivi karibuni, Meninah alisema muda mwingi atautumia kufanya biashara. “Mimi ni Mrs Abdukarim, alikuwa ana support muziki wangu, but mimi kama mimi kwanza nilikuwa engaged nilikubaliana na hiyo hali na ni […]

 

11 years ago

GPL

MSIKILIZE MUUMIN AKIZIKOSOA TUZO TATU ZA MUZIKI WA DANSI

Mwimbaji nyota wa muziki wa dansi, Mwinjuma Muumin. MWIMBAJI nyota wa muziki wa dansi, Mwinjuma Muumin amezikosoa tuzo tatu za muziki wa dansi zilizotolewa Jumamosi, Mlimani City katika usiku wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards.  Muumin alitoa tathmini yake jana mchana katika ofisi za Saluti5 ambapo alisema hakubaliani na Mashujaa Band kupewa tuzo ya bendi bora ya mwaka, hakubaliani pia na Jose Mara kuwa mwimbaji...

 

10 years ago

Bongo5

Shughuli za kijamii zamfanya Ray C aweke muziki pembeni kwa muda hadi November

Msanii wa muziki nchini, Rehema Chalamila aka Ray C ambaye pia alianzisha taasisi ya kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya, ‘Ray C Foundation’, asema kazi ya kuwaokoa vijana walioingia kwenye dibwi la matumizi ya madawa hayo imemfanya auweke muziki pembeni. Ray C ameiambia Bongo5 kuwa tangu January mwaka huu alikuwa na mpango wa kuachia […]

 

11 years ago

Michuzi

MBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.

Pichani ni mwenyekiti wa CHADEMA,Mh. Freeman Mbowe akiwa sambamba na Mbunge wa jimbo la Kawe,Halima  Mdee wakiwa wameachiwa na jeshi la polisi akisindikizwa kwenda kupanda chopa katika viwanja vya mwembetogwa mara baada ya kudaiwa kuzidisha muda kwenye mkutano wao wa hadhara mkoani Iringa. (picha zote na denis mlowe) Na Denis Mlowe,Iringa MWENYEKITI wa Chadema Mhe. Freeman Mbowe na Mbunge wa jimbo la Hai na Mbunge wa Jimbo la Kawe Mhe. Halima Mdee walishikiliwa kwa muda na Jeshi la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani