Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: DJ Choka Ft. Young Lunya, Country Boy, Deddy, Climax Bibo & Bgway – Nitalala Uzeeni

Wimbo mpya kutoka kwa Dj Choka akiwashirikisha Young Lunya, Country Boy, Deddy, Climax Bibo & Bgway wimbo unaitwa “Nitalala Uzeeni” Studio A.M Records

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MSIKILIZE DJ CHOKA HAPA NA UNDANI WA NITALALA UZEENI NA MWANAE ALIVYOMFANYA AACHE MUZIKI KWA MUDA

NITALALA UZEENI BY DJ CHOKAWakati tukiisubiri siku ya Ijumaa ya tarehe 13 March 2015 kuusikiliza Wimbo Mpya kutoka kwa DjChoka Alioubariki jina la "NITALALA UZEENI", Basi Tunakupa nafasi ya Kumsikiliza Dj Choka akiuzungumzia Kiundani wimbo huo ambao anaamini Kuwa Mashabiki wake Watauelewa sana haswa Vijana.Akizungumza na DjHaazu wa Mambo Jambo Radio Arusha Kupitia Kipindi cha DUNDO Choka amesema NITALALA UZEENI ni wimbo flani unaoelezea Zaidi jinsi ambavyo Watu wanaHustle kila kukicha na Kula Bata huku wakiamini...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Babuu wa Kitaa & Country Boy – Kigangster Kisharobaro

Wimbo mpya kutoka kwa mtu na Kaka yake Babuu wa Kitaa na Country Boy wimbo unaitwa “Kigangster Kisharobaro” studio Kiri Records

 

9 years ago

Bongo5

Music: TID Ft Bill Nass & Country Boy – Banjo

T.I.D

Huu ni wimbo mpya unaitwa “Banjo” kutoka kwa msanii TID amewashirikisha Bill Nass na Country Boy

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: S-Miah ft Young Rafa Manengo & Ally Kijo – Amsha Popo

Amsha Popo

Rapper S-Miah ameachia wimbo mpya unaitwa “Amsha Popo” amewashirikisha Young Rafa Manengo na Ally Kijo. Studio Mbunda Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: Mtuchee Ft Jux & Deddy – Mtutatu

AWWWWW

Ma rapper watatu wanao unda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy, Young Killer wameachia video mpya ya wimbo unaitwa” Mtu Tatu” wamewashirikisha Jux na Deddy. Video imeongozwa na Khalfani.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Fid Q, Mwasiti, Izzo Bizness, Young D, Shilole & Shaa – Pga Chata

Wimbo maalum kwa vijana wa Tanzania; tushiriki kikamilifu kwenye uchaguzi mkuu wa 2015. Kura yetu ndio sauti na nguvu yetu. wimbo unaitwa “Piga Chata” Studio 41 Records, Wasanii walio shiriki nin Fid Q, Mwasiti, Izzo Bizness, Young D, Shilole, and Shaa Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata […]

 

9 years ago

Bongo5

Country Boy: Sina tatizo na Young Dee

Mtu Chee

Rapa wa kundi la Mtu Chee, Country Boy amesema hana tatizo na Young Dee licha ya kupishana lugha miezi michache iliyopita baada ya rapa huyo kujitoa katika kundi hilo.

<img src="http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Mtu-Chee.jpg" alt="Mtu Chee" width="640" height="640" class="alignnone size-full wp-image-129808" /0

Country Boy anasema hajawahi kuoongea na Young Dee toka atangaze kuachana na Mtu Chee.

“Sina tatizo na Young Dee, yeye alichagua kufanya kile anachokitaka na sisi...

 

9 years ago

Bongo5

Mtu Chee (Stamina,Country Boy na Young Dee) waingia studio

Rappers wanaounda kundi la Mtu Chee, Stamina, Country Boy na Young Dee ameingia studio za Kiri Records kuandaa kazi mpya za kundi hilo. Kupitia ukurasa wa Instagram, Stamina alipost picha na kuandika: Current situation,,,,right now,,,ndani ya Kirirecordstz tupo na mtu mbayaaaa Rashdontz project mpyaaaaaaa ya MTU CHEE,MTU NOMA,MTU 3,yale majibu ya maswali yenu sasa yako […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani