Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki
Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.
Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.
“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Dec
Magufuli amrudisha Afande Sele kwenye muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-300x194.jpg)
Kasi ya Rais Dk John Pombe Magufuli imemkuna rapa kutoka Morogoro, Afande Sele na kuamua kurejea katika muziki baada ya mwezi mmoja uliopita kutangaza kuachana na muziki kwa madai hawezi kunufaika tena na muziki wake kutokana na kuwagawa mashabiki kupitia siasa.
Afande ambaye aligombea kiti cha ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo katika jimbo la Morogoro Mjini lakini akashindwa, ameiambia Bongo5 kuwa, kasi ya Magufuli imemwingia moyoni na kumfanya aamini hii ni Tanzania mpya.
“Kiukweli...
9 years ago
Bongo530 Oct
Afande Sele kuweka muziki pembeni, kugeukia kilimo
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo506 Nov
Ditto: Siamini kabisa kama Afande Sele ameacha muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-300x194.jpg)
Ditto ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya kazi na Afande Sele kwenye kundi la Watu Pori ambalo halipo tena, ametoa maoni yake kuhusu taarifa za uamuzi wa Afande kutangaza kuacha muziki baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini.
Wiki iliyopita rapper mkongwe wa Morogoro Afande Sele alitangaza kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji.
“Mimi niwe tu wazi kwamba siamini kama Afande ameacha muziki,” alisema Ditto kupitia...
9 years ago
Bongo528 Sep
Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele
9 years ago
Bongo504 Jan
Afande Sele aonesha mjengo alioujenga kupitia pesa ya muziki (Picha)
![Afande Selle](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Afande-Selle-300x194.jpg)
Msanii mkongwe wa Hip Hop kutoka Morogoro, Afande Sele ameonesha nyumba aliyoijenga nje ya mji wa Morogoro kupitia pesa za muziki.
Rapa huyo ambaye mwaka 2015 aligombea ubunge katika jimbo la Morogoro mjini kupitia ACT, ameiambia Bongo5 kuwa anakamilisha mjengo wake na kurudi kijijini.
“Muziki ulishatupaga heshima. Hii pia ndio culture yetu rasta hata Babu Burning Spear alirudi shamba. Huu ni wito FEEDTHE NATION,” amesema Afande.
Ameongeza,“Sijaacha muziki ila muziki ndio umeniacha....
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s72-c/14.jpg)
WASANII BONGO FLAVA WAMFARIJI AFANDE SELE KWENYE AROBAINI YA MAMA TUNDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dm-j0Y4avNo/VB8BWYSLk_I/AAAAAAAAL4Q/MbvIJvDWGLg/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xuTYHFroXMk/VB8BY3URcaI/AAAAAAAAL4Y/mWmXz9Givl8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVdoxTVqKMU/VB8BaM6vU8I/AAAAAAAAL4g/LMXEHU-wlS0/s1600/4.jpg)
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Celine arudi kwenye muziki
Celine arudi kwenye muziki
LAS VEGAS, MAREKANI
BAADA ya Celine Dion kukaa kwa muda mrefu bila ya kufanya muziki kutokana na kumuuguza mume wake, Rene Angelil, sasa ameanza kazi ya muziki upya.
Celine alipanda jukwaani juzi huku mume wake akiwa pembeni na kabla ya kuimba aliwaambia mashabiki: ‘Nadhani kila mmoja anajua nini ninataka kukufanyia leo siku yangu rasmi.’
Hata hivyo, msanii huyo alijikuta akidondosha chozi kutokana na mapokezi aliyoyapata kutoka kwa mashabiki wake.
Baada ya...
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Will Smith arudi kwenye muziki
LOS ANGELES, MAREKANI
MWIMBAJI na mcheza filamu mahiri nchini Marekani, Will Smith, amerudi kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Msanii huyo alikuwa kimya kwenye muziki huku akihamishia nguvu zake kwenye filamu, lakini wiki iliopita msanii huyo ameachiwa wimbo wake ambao unajulikana kwa jina la ‘Fiesta’.
Mara ya mwisho msanii huyo kuachia wimbo wake ilikuwa mwaka 2000, hivyo alikuwa kimya kwa miaka 15 sasa.
Hivi karibuni, msanii huyo alifanya shoo ya kujitambulisha kwamba...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Ni Afande Sele, Alikiba, Juma Nature, Ferooz kwenye video zao enzi hizo……(+Video)
Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 5 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. Afande Sele ft Ditto –Darubini kali Mez B ft Ray […]
The post Ni Afande Sele, Alikiba, Juma Nature, Ferooz kwenye video zao enzi hizo……(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.