Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli amrudisha Afande Sele kwenye muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Kasi ya Rais Dk John Pombe Magufuli imemkuna rapa kutoka Morogoro, Afande Sele na kuamua kurejea katika muziki baada ya mwezi mmoja uliopita kutangaza kuachana na muziki kwa madai hawezi kunufaika tena na muziki wake kutokana na kuwagawa mashabiki kupitia siasa.

Afande-Sele-nzuri_full

Afande ambaye aligombea kiti cha ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo katika jimbo la Morogoro Mjini lakini akashindwa, ameiambia Bongo5 kuwa, kasi ya Magufuli imemwingia moyoni na kumfanya aamini hii ni Tanzania mpya.

“Kiukweli...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.

Afande-Sele-nzuri_full

Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.

“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele kuweka muziki pembeni, kugeukia kilimo

Afande-Sele-nzuri_fullMsanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amesema ameamua kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji. Rapper huyo wa ‘Darubini Kali’, aliyeshindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini kupitia chama cha ACT, ameiambia Bongo5 kuwa anaamini hawezi kufanya muziki wa kibiashara utakaomlipa kutokana na kuwagawa mashabiki wake kupitia siasa. […]

 

9 years ago

Bongo5

Ditto: Siamini kabisa kama Afande Sele ameacha muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Ditto ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya kazi na Afande Sele kwenye kundi la Watu Pori ambalo halipo tena, ametoa maoni yake kuhusu taarifa za uamuzi wa Afande kutangaza kuacha muziki baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini.

Afande-Sele-nzuri_full

Wiki iliyopita rapper mkongwe wa Morogoro Afande Sele alitangaza kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji.

“Mimi niwe tu wazi kwamba siamini kama Afande ameacha muziki,” alisema Ditto kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Afande Sele aonesha mjengo alioujenga kupitia pesa ya muziki (Picha)

Afande Selle

Msanii mkongwe wa Hip Hop kutoka Morogoro, Afande Sele ameonesha nyumba aliyoijenga nje ya mji wa Morogoro kupitia pesa za muziki.

Afande Selle

Rapa huyo ambaye mwaka 2015 aligombea ubunge katika jimbo la Morogoro mjini kupitia ACT, ameiambia Bongo5 kuwa anakamilisha mjengo wake na kurudi kijijini.

“Muziki ulishatupaga heshima. Hii pia ndio culture yetu rasta hata Babu Burning Spear alirudi shamba. Huu ni wito FEEDTHE NATION,” amesema Afande.

Ameongeza,“Sijaacha muziki ila muziki ndio umeniacha....

 

9 years ago

Bongo5

Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele

Rapper mkongwe nchini, Seleman Msindi maarufu kama Afande Sele, amesema wanamuziki wengi wanaweza kuwa hai lakini muziki wao umekufa. Afande ameiambia Bongo5 kuwa muziki umeingiliwa na wasanii wanaofanya biashara ya muziki bila kuwa na wito na kazi hiyo. “Wanamuziki wengi wa zamani wa kizazi kipya hata wale wa zamani akina Mbaraka, Majani wametangulia mbele ya […]

 

10 years ago

Vijimambo

WASANII BONGO FLAVA WAMFARIJI AFANDE SELE KWENYE AROBAINI YA MAMA TUNDA

Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele (Kushoto), akitoa nasaha zake wakati wa arobaini ya marehemu mama Tunda, aliyekuwa mke wa msanii huyo. Arobaini hiyo ilifanyika nyumbani kwa marehemu mtaa wa Amani mjini . Wasanii kadhaa kutoka kila pembe ya nchi walihudhuria na katika nasaha zake, Afande Sele aliwaasanii kuendelea na moyo wa kusaidiana miongoni mwao.Baadhi ya wasanii na wenyeji wao, wakiwa kwenye arobaini hiyoWasanii wakiwasili nyumbani kwa Afande SeleOmy Dimpoz, akitoa...

 

9 years ago

MillardAyo

Ni Afande Sele, Alikiba, Juma Nature, Ferooz kwenye video zao enzi hizo……(+Video)

Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 5 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. Afande Sele ft Ditto –Darubini kali Mez B ft Ray […]

The post Ni Afande Sele, Alikiba, Juma Nature, Ferooz kwenye video zao enzi hizo……(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

GPL

MASKINI AFANDE SELE

Stori:  Erick Evarist na Joseph Shaluwa
SIKU chache baada ya kuzagaa kwa taarifa za kuachana na mkewe mama Tunda, mfalme wa Rhymes, Seleman Msindi ‘Afande Sele’ ameibuka na kusimulia mambo ya kusikitisha waliyopita katika safari ya maisha yao. Mfalme wa Rhymes, Seleman Msindi ‘Afande Sele’. Akizungumza na wanahabari wetu ndani ya Ukumbi wa Meeda, Sinza-Mori, Dar, juzi Afande alisema hadi kufikia...

 

9 years ago

Mwananchi

Ukata wamkwamisha Afande Sele

Mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini (ACT - Wazalendo), Seleman Msindi maarufu Afande Sele, amesema ameshindwa kuzindua kampeni zake kutokana na kukabiliwa na ukata wa fedha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani