Afande Sele kuweka muziki pembeni, kugeukia kilimo
Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amesema ameamua kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji. Rapper huyo wa ‘Darubini Kali’, aliyeshindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini kupitia chama cha ACT, ameiambia Bongo5 kuwa anaamini hawezi kufanya muziki wa kibiashara utakaomlipa kutokana na kuwagawa mashabiki wake kupitia siasa. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Dec
Magufuli amrudisha Afande Sele kwenye muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-300x194.jpg)
Kasi ya Rais Dk John Pombe Magufuli imemkuna rapa kutoka Morogoro, Afande Sele na kuamua kurejea katika muziki baada ya mwezi mmoja uliopita kutangaza kuachana na muziki kwa madai hawezi kunufaika tena na muziki wake kutokana na kuwagawa mashabiki kupitia siasa.
Afande ambaye aligombea kiti cha ubunge kupitia chama cha ACT Wazalendo katika jimbo la Morogoro Mjini lakini akashindwa, ameiambia Bongo5 kuwa, kasi ya Magufuli imemwingia moyoni na kumfanya aamini hii ni Tanzania mpya.
“Kiukweli...
9 years ago
Bongo506 Nov
Ditto: Siamini kabisa kama Afande Sele ameacha muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-300x194.jpg)
Ditto ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya kazi na Afande Sele kwenye kundi la Watu Pori ambalo halipo tena, ametoa maoni yake kuhusu taarifa za uamuzi wa Afande kutangaza kuacha muziki baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini.
Wiki iliyopita rapper mkongwe wa Morogoro Afande Sele alitangaza kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji.
“Mimi niwe tu wazi kwamba siamini kama Afande ameacha muziki,” alisema Ditto kupitia...
9 years ago
Bongo526 Nov
Afande Sele ashauriwa aache siasa na arudi kwenye muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/02/Afande-Sele-nzuri_full-200x128.jpg)
Baada ya kutangaza kuachana na muziki na kujikita zaidi kwenye kilimo na siasa, watu wa karibu na Afande Sele wamemshauri kutoachana na kitu anachokiweza zaidi – muziki.
Akizungumza na Bongo5 leo, Afande amesema bado anajifikiria kufanya hivyo lakini anapata wakati mgumu kutokana na siasa kumwingia kwenye damu.
“Sasa hivi kuna vitu vinaanza kunipa warning kuona jinsi siasa ilivyo, sasa hivi naenda mahakamani nina matatizo ya kesi lakini simuoni mtu. Kwahiyo ni hali ambayo inanipelekea...
9 years ago
Bongo504 Jan
Afande Sele aonesha mjengo alioujenga kupitia pesa ya muziki (Picha)
![Afande Selle](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Afande-Selle-300x194.jpg)
Msanii mkongwe wa Hip Hop kutoka Morogoro, Afande Sele ameonesha nyumba aliyoijenga nje ya mji wa Morogoro kupitia pesa za muziki.
Rapa huyo ambaye mwaka 2015 aligombea ubunge katika jimbo la Morogoro mjini kupitia ACT, ameiambia Bongo5 kuwa anakamilisha mjengo wake na kurudi kijijini.
“Muziki ulishatupaga heshima. Hii pia ndio culture yetu rasta hata Babu Burning Spear alirudi shamba. Huu ni wito FEEDTHE NATION,” amesema Afande.
Ameongeza,“Sijaacha muziki ila muziki ndio umeniacha....
9 years ago
Bongo528 Sep
Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeAxtPSh-axbmc1fqJvtD-NLuEyd1XImUfABKpoawOyDF9H6V48Rdd7wDLebyAy8FgqHr2v42nlCEpHnDJzJrwZ8/afande.jpg?width=650)
MASKINI AFANDE SELE
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Ukata wamkwamisha Afande Sele
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuV5TJy9-YvGluQtIX5GoPTkrLY3oW0iDEG19-jYCVz0*rijlfR7z7oWwXiPg4RApl6omXyVTKo2*F4GJ-ooMyQ6/afande.jpg)
AFANDE SELE ANASWA NA DEMU MPYA
11 years ago
Michuzi04 Mar
introducing 'MWENDO WA KASI' BY AFANDE SELE