Shughuli zasimama kwa muda Stendi ya mabasi Singida.
Na Emmanuel Michael,
Singida.
Shughuli mbalimbali katika Stendi kuu ya mabasi Mjini Singida, jana zilisimama kwa zaidi ya saa tano, baada ya wapigadebe na mawakala kufunga kwa lundo la mawe lango la kuingilia katika kituo hicho.
Hatua hiyo ilichukuliwa kama moja ya njia za kuushinikiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, kukifanyia matengenezo kipande cha barabara ya kuingia katika kituo hicho chenye mashimo makubwa na kuweka lami pamoja na ukarabati wa miundombinu mingine...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTYEC MKOA WA SINGIDA YATOA ELIMU STENDI YA MABASI NAMNA YA KUJIKINGA KUPATA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rypUsh5SygA/XocNK2h5RkI/AAAAAAAAkhg/u8LyJAdUXUU2wRarkFB-Tz-TiCMPRpRdgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200403-WA0005.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Shughuli zasimama kusubiri matokeo
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Mbowe ajisalimisha polisi, Shughuli zasimama
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Shughuli zasimama Wete mapokezi ya Seif Sharif Hamad
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s72-c/RPC%252BMbeya.jpg)
KAMANDA MATEI,AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA STENDI, AZUIA SAFARI KWA BAADHI YA MABASI YA ABIRIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JXAUIgTHQRE/Xq_2ejQ7rLI/AAAAAAALpBU/wQEbcsaCJB06kXO-xON89cNnwxhmP72qwCLcBGAsYHQ/s640/RPC%252BMbeya.jpg)
Katika ukaguzi huo alikuta Mabasi matatu ya abiria yenye namba za usajili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfHMA2pURk6yTWkjGbRm1GoJTvnltu4RmnFJmsTib5aWw9uBkZzZM3xUj9K0VLT4CtHrlMfPOUkMNgcHOSBTY0D/breakingnews.gif)
MGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO
11 years ago
Habarileo23 Dec
Bilioni 1/- kujenga stendi ya mabasi Kishapu
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imeanza ujenzi wa stendi ya mabasi ya abiria katika eneo la kijiji cha Isoso unaogharimu jumla ya Sh bilioni moja.
10 years ago
Habarileo15 Feb
Mgambo stendi ya mabasi Tabora lawamani
JESHI la Polisi mkoani Tabora limewakana askari mgambo walioko stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani ambao wanadaiwa kugeuka kero kwa kamatakamata na kuomba rushwa watu wenye baiskeli.