Bilioni 1/- kujenga stendi ya mabasi Kishapu
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imeanza ujenzi wa stendi ya mabasi ya abiria katika eneo la kijiji cha Isoso unaogharimu jumla ya Sh bilioni moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Bil. 3/- kujenga hospitali Kishapu
UJENZI wa hospitali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, inayotarajia kuanza kazi Oktoba mwaka huu unatarajia kugharimu sh bilioni tatu. Akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo kwa Waziri wa...
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO
10 years ago
Habarileo15 Feb
Mgambo stendi ya mabasi Tabora lawamani
JESHI la Polisi mkoani Tabora limewakana askari mgambo walioko stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani ambao wanadaiwa kugeuka kero kwa kamatakamata na kuomba rushwa watu wenye baiskeli.
10 years ago
GPLUJENZI STENDI YA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA
11 years ago
Habarileo26 May
Serikali yazuia Iringa kujenga stendi Igumbilo
SERIKALI imefanya uamuzi mgumu kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuzuia mpango wake wa kujenga stendi mpya ya mabasi ya mikoani katika eneo linalolalamikiwa na wadau wa mazingira la Igumbilo, mjini hapa.
10 years ago
StarTV17 Jan
Shughuli zasimama kwa muda Stendi ya mabasi Singida.
Na Emmanuel Michael,
Singida.
Shughuli mbalimbali katika Stendi kuu ya mabasi Mjini Singida, jana zilisimama kwa zaidi ya saa tano, baada ya wapigadebe na mawakala kufunga kwa lundo la mawe lango la kuingilia katika kituo hicho.
Hatua hiyo ilichukuliwa kama moja ya njia za kuushinikiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, kukifanyia matengenezo kipande cha barabara ya kuingia katika kituo hicho chenye mashimo makubwa na kuweka lami pamoja na ukarabati wa miundombinu mingine...
11 years ago
Michuzi06 Mar
hoja ya haja: Stendi ya Mabasi ya Mikoani Mbezi Luis au Luguruni?
9 years ago
MichuziABILIA WAKIWA STENDI KUU YA MABASI YA KWENDA MIKOANI (UBUNGO)
Abilia wakiwa katika Stendi Kuu ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam, wakiimalisha usalama wa malizao, leo.Abilia wakiwa wamejipumzisha chini ya mti katika Stendi Kuu ya mabasi ya kwenda mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam leo.Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii.