hoja ya haja: Stendi ya Mabasi ya Mikoani Mbezi Luis au Luguruni?
Moja ya kero kubwa hapa Dar ni msongamano unaotokana na kutopangilia miundombinu na huduma vizuri. Kwenye magazeti ya siku za karibuni, imeripotiwa kuwa mpango wa kujenga stendi ya mabasi yaendayo mikoani eneo la Mbezi Luis umekwama kwa sababu eneo lile halifai kutokana na kuwepo mkondo wa maji. Nimekuwa najiuliza kwa nini kujengwa stendi pale mahali hajapapimwa (hivyo ni vigumu kujengwa huduma za mahoteli, nk na kumwaga maji taka)... wakati mbele kidogo tu pale Luguruni kuna eneo kubwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziABILIA WAKIWA STENDI KUU YA MABASI YA KWENDA MIKOANI (UBUNGO)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gPISZ9-UBYk/XswOrovRM4I/AAAAAAALre8/SaLwAP6mxe887muL0tiOa_Go8ewVxoyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/4f298494-9e52-4e35-9446-407d8d3a8dfb.jpg)
RC MAKONDA AMUELEKEZA MKANDARASI WA UJENZI WA STAND MPYA YA MABASI YA MBEZI LUIS KUKABIDHI MRADI KWA MUDA ULIOPANGWA.
RC Makonda amesema ujenzi wa Stand hiyo unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 50.9 na itakuwa na uwezo wa kuegesha Mabasi Makubwa 700 na Magari Madogo yasiyopungua 300 ambapo ndani yake kutakuwa na Jengo la abiria, Jengo la utawala, Shopping...
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Sryqc6OHUc/XrbZf0ddohI/AAAAAAAAHKA/wYBus3ycnfwCeRk5pqGFVrR7UpGMKVBZACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.20.11.jpeg)
KUTOKA MTAANI KWETU NDANI MBEZI LUIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Sryqc6OHUc/XrbZf0ddohI/AAAAAAAAHKA/wYBus3ycnfwCeRk5pqGFVrR7UpGMKVBZACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.20.11.jpeg)
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wnT8sqiGJNE/XrbZf9qG_2I/AAAAAAAAHKI/yeUBrHJ8s1g1CNEZygl_3prsw9DWuDEIwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.21.20.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pzYpRLLZ_Tg/XrbZf5KDJ1I/AAAAAAAAHKE/gnrvOL9vIfco-F6nDutFS3UkRaT1dQZBwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.22.19.jpeg)
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
10 years ago
Michuzi29 Jun
HOJA YA HAJA TOKA KWA MDAU
Nimeenda kwenye maonesho hayo lakini nilichoshuhudia jana nikwamba maonesho hayo yamewalenga wenye kipato cha juu tu na si watanzania wakawaida asilani, kwa sababu inashangaza sana kwa serikali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfHMA2pURk6yTWkjGbRm1GoJTvnltu4RmnFJmsTib5aWw9uBkZzZM3xUj9K0VLT4CtHrlMfPOUkMNgcHOSBTY0D/breakingnews.gif)
MGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO
11 years ago
Michuzi09 Mar
HOJA YA HAJA: kampeni ya kupambana na ukuda Tanzania
11 years ago
Michuzi18 Feb
HOJA YA HAJA KUTOKA KWA WADAU WA UGHAIBUNI
Mnhomo Gwa Nzunzu ni Mtanzania aliyezaliwa Sengerema, Mwanza. Baada ya kuzaliwa wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa na miaka mitatu tu kutokana na ajali ya gari. Baada ya kufariki wazazi wake Nhomo Gwa Nzuzu alilelewa na bibi yake ambaye alimsisitizia sana apate elimu ili ajikombowe kimaisha. Kwa vile Nhomo Gwa Nzuzu hakutaka kumsikitisha bibiye aliamua maisha yake ni kitabu na kitabu na yeye.
Kutokana na juhudi zake za kujisomea Nhomo Gwa Nzuzu alifaulu darasa...