Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA MTAANI KWETU NDANI MBEZI LUIS

 Baadhi ya wananchi wa maneo mbalimbali katika jiji la Dar es salaam wakiwa katika soko la Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo wakijipatia mahitaji yao mbalimbali ambapo fungu la Magimbi ni sh.1000 mpka 2000 
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) Bei ya fungu la viazi katika soko la Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam fungu linaanzia  shilingi 1000, 2000.Bei ya fungu la Magimbi na Viazi kati ya  sh.1000/= mpaka 2000/= katika soko la Mbezi Luis  wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU NDANI YA JIJI

 Bei za mchele katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam  kamainavyoonekana katika picha.Bei za bidhaa mbalimbali katika maeneo mbalimbali ya jiji laDar es Salaam, kamazinavyo onekana katika picha.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)Baadhi ya wananchi wa jiji la Dar es Salaam wakinunu mahitaji yao mbalimbali katika duka la vyakula kamainavyo onekana pichani. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU NDANI YA PWANI

 Madereva wa bodaboda
wakikatiza katika viunga vya Mtipesa  wilaya ya Mkuranga  mkoa wa
Pwani  wakiwa wamepakia abiria na mizigo  huku wakiwa hawajavaa kofia
ngumu jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)

Madereva wa bodaboda wakikatiza katika viunga vya Mtipesa  wilaya ya Mkuranga  mkoa wa Pwani  wakiwa wamepakia abiria na mizigo  huku wakiwa hawajavaa kofia ngumu jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao.
 (Picha zote na Emmanuel Massaka wa Michuzi...

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI KIGAMBONI

Baadhi ya nyumba zilizopo mtaa wa Chadigwa wilaya ya Kigamboni  jijini Dar es Salaam ambazo wakazi wake huwa katika wakatimgumu na hasa nyakati hizi za mvua, zikiwa zimezingirwa na maji kama inavyonekana picha kutokana na ujenzi usio na mpangilio katika eneo hilo,(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA POSTA


 Majasiriamali akiuza vitafunwa mbalimbali katika kituo cha mabasi cha Posta mpya wilaya ya Ilala  Jijini Dar es Salaam kama anavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) Chapati na Maharage Mjasiriamali akiwa kazni kama anavyoonekana pichani.

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA KIGAMBONI

 Mjasiriamali akiuza vitafunwa mbalimbali katika kituo kikuu  cha mabasi  Feri  wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es Salaam kama anavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) Mjasiriamali akiandaa  Chapati kama anayoonekana pichani  Mjasiriamali akindaa vifaa vyake baada ya kulalizi vitafunwa.              Majasiriamali wakiendelea na kazi kamainavyo onekana pichani.

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA MAKUMBUSHO

Konda wa daladala ya Makumbusho Gerezani akihakikisha abilia wote wamepata vitakasa mikono kabla ya kuingia ndani ya daladala hiyo  ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona kama inavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) Baadhi ya wananchi wa jiji la Dar es salaam leo wakiwa katika Kituo cha daladala Makumbusho kuelekea maeneo mbalimbali huku wakiwa wamevaa Barakoa kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona.Wananchi wa jiji Dar es salaam leo...

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU LEO CHADIGWA NDANI KIGAMBONI

Moja kati ya nyumba zilizopo mtaa wa Chadigwa wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam ambazo wakazi wake hupatwa na wakati mgumu na hasa nyakati hizi za mvua zinazoendelea kunyesha jijini,zikiwa zimezungukwa na maji kama inavyonekana pichani kutokana na ujenzi usio na mpangilio katika eneo hilo,lakini pia mkusanyiko wa maji hayo huweza kusababisha magonjwa ya mlipuko.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv).

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU HALI HALISI NDANI YA KARIAKOO

 Kutokana na Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani wauzaji wa Madafu wa kariakoo wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam, wamepunguza bei kutoka shilingi 1000,hadi 500. kama unavyoonekana pichani.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) Mjasiriamali wa Madafu wa Kariakoo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam akisubiri wateja wanaotoka sehemu mbalimbali,ambapo Dafu moja kwa sasa  limauzwa shilingi 500.
Hali halisi

 

5 years ago

Michuzi

KUTOKA MTAANI KWETU LEO NDANI YA KWEMBE LUGURUNI

Munonekano wa Barabara ya Morogoro katika eneo la Kwembe Luguruni wilaya ya Ubungo jijini Da es Salaam ujenzi wa barabara hiyo unaendelea kwa kasi.Ujenzi wa barabara ya Morogoro katika eneo la Kwembe Luguruni wilaya ya Ubungo ukiendelea kwa kasi kama inavyoonekana kwenye picha.
Mafundi wa wakiendelea na kazi za ujenzi wa barabara wa Morogoro katika eneo la Kwembe Luguruni wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam kama wanayoonekana katika picha.(Picha zote na Emmanuel Massaka)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani