RC MAKONDA AMUELEKEZA MKANDARASI WA UJENZI WA STAND MPYA YA MABASI YA MBEZI LUIS KUKABIDHI MRADI KWA MUDA ULIOPANGWA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-gPISZ9-UBYk/XswOrovRM4I/AAAAAAALre8/SaLwAP6mxe887muL0tiOa_Go8ewVxoyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/4f298494-9e52-4e35-9446-407d8d3a8dfb.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amemuelekeza Mkandarasi wa Ujenzi wa Stand mpya ya mabasi ya Mikoani na nje ya nchi ya Mbezi Louis ambayo ujenzi wake kwa sasa umefikia 70%, kuhakikisha Ujenzi huo unakamilika na kukabidhiwa kwa wakati.
RC Makonda amesema ujenzi wa Stand hiyo unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 50.9 na itakuwa na uwezo wa kuegesha Mabasi Makubwa 700 na Magari Madogo yasiyopungua 300 ambapo ndani yake kutakuwa na Jengo la abiria, Jengo la utawala, Shopping...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5eeLyPFOQeY/Xni7WUpJeBI/AAAAAAAAG7g/B7MkH67tEMIDmAi5bUw5muI_Y4Z8ohc2gCLcBGAsYHQ/s72-c/4.jpg)
RC MAKONDA AMTAKA MKANDARASI UJENZI BARABARA YA MABASI MWENDOKASI MBAGALA KUONGEZA KASI
RC Makonda amesema kwa muda mrefu wakazi wa Mbagala walikuwa wakipata changamoto ya usafiri ikiwemo foleni na wakati mwingine wananchi kuibiwa simu na mikoba wakiwa wanagombania usafiri...
11 years ago
Michuzi06 Mar
hoja ya haja: Stendi ya Mabasi ya Mikoani Mbezi Luis au Luguruni?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HmqMdF3hbRY/Xp2IvmtZu1I/AAAAAAAAJKQ/gP_kLBaeZEoVcXPPh54tE7oXFmcl4aJGACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200420_135552_878.jpg)
DC DAQARRO AWATAKA HALMASHAURI KUHAKIKISHA JENGO LA MRADI WA MAMA NA MTOTO LINAKAMILIKA NDANI YA MUDA ULIOPANGWA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-HmqMdF3hbRY/Xp2IvmtZu1I/AAAAAAAAJKQ/gP_kLBaeZEoVcXPPh54tE7oXFmcl4aJGACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200420_135552_878.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakipata Maelezo ya Ujenzi wa Mradi wa Maduka kutoka kwa Mchumi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Mathias Shindika kuhusu ujenzi wa Maduka kwenye Kata ya Levolosi jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-Lvo7hIMDqj4/Xp2JTJdUzLI/AAAAAAAAJKg/uE0wHscF2H8YQKsN8xE8ZWkJ_-WRkhCkQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200420_105619_054.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na kamati ya ulinzi na Usalama wakielekea Shule ya Sekondari Moivaro kunakojengwa madarasa manne ikiwa ni utekelezaji wa ujenzi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0ie-ZBxmoTU/UyVGI4PJ8bI/AAAAAAAFT64/P183qmV7Zoo/s72-c/IMG_2832.jpg)
Mkandarasi wa mradi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka aruhusu maeneo ya kugeuzia magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-0ie-ZBxmoTU/UyVGI4PJ8bI/AAAAAAAFT64/P183qmV7Zoo/s1600/IMG_2832.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-w6nAHTyS_AE/UyVGJEonX2I/AAAAAAAFT68/jznXnprzgGs/s1600/IMG_2834.jpg)
KAMPUNI ya ujenzi wa barabara ya STRABAG inayoendelea na ujenzi kwa ajili ya mradi wa mabasi yaendayo haraka umeruhusu upande mmoja wa barabara uliokamilika kutumika ili kupunguza foleni ya magari yanayoka Kimara kuelekea katikati ya jiji au sehemu nyingine kupitia barabara ya Morogoro.
Mhandisi wa Wakala wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART),Mhandisi John Shauri aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yjjke11COdo/XkWGfaDhM9I/AAAAAAABKc0/4cQB69w_HGU5muWYZsilKoaNcGtKt56uwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200213-WA0102.jpg)
MKANDARASI UJENZI WA MRADI WA MAJI MKURANGA ATAKIWA KUPUNGUZA GHARAMA
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amewaagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kukaa chini na mkandarasi anayejenga mradi wa maji Mkuranga kupunguza gharama za ujenzi
Hayo yamesemwa wakati wa ziara ya kutembelea miradi ya maji katika wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani. Katika ziara hiyo pia ameambatana na Mbunge wa Jimbo hilo Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega pamoja na wataalamu wa maji.
Mbarawa amesema, Dawasa wakae...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s72-c/unnamed+(23).jpg)
wajumbe wa bunge maalum wahitimisha zoezi la kuapa kwa muda uliopangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fr4oCJ66EEk/UyVnK0D_hjI/AAAAAAAFT7c/XASx6aFTyJ0/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wyztZuzeng4/UyVnLFL8NHI/AAAAAAAFT7g/hIyjDqZPvVs/s1600/unnamed+(25).jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
DC wa Kinondoni Paul Makonda atembelea mradi wa ujenzi wa bomba la maji kutoka Ruvu juu!
Na Eleuteri Mangi – MAELEZO
Mkuu wa Wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Sryqc6OHUc/XrbZf0ddohI/AAAAAAAAHKA/wYBus3ycnfwCeRk5pqGFVrR7UpGMKVBZACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.20.11.jpeg)
KUTOKA MTAANI KWETU NDANI MBEZI LUIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-2Sryqc6OHUc/XrbZf0ddohI/AAAAAAAAHKA/wYBus3ycnfwCeRk5pqGFVrR7UpGMKVBZACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.20.11.jpeg)
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wnT8sqiGJNE/XrbZf9qG_2I/AAAAAAAAHKI/yeUBrHJ8s1g1CNEZygl_3prsw9DWuDEIwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.21.20.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pzYpRLLZ_Tg/XrbZf5KDJ1I/AAAAAAAAHKE/gnrvOL9vIfco-F6nDutFS3UkRaT1dQZBwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-08%2Bat%2B12.22.19.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bay6Oe_4yOk/XkqDFZYWPuI/AAAAAAALduE/SqfpE02Q9SEuyLv4c-PUfDqjuX0WVri6QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200216_155130.jpg)
Wakandarasi Watakiwa kuharakisha mradi, kukabidhi kwa wakati
Amesema mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwezi machi mwaka 2018 na kutakiwa kukamilika na kukabidhiwa Mwezi Mei 31 mwaka huu, mradi huu ulitakiwa use umekamilika kwa asilimia 62 %lakini bado unasuasua kwani kwa sasa...