DC DAQARRO AWATAKA HALMASHAURI KUHAKIKISHA JENGO LA MRADI WA MAMA NA MTOTO LINAKAMILIKA NDANI YA MUDA ULIOPANGWA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-HmqMdF3hbRY/Xp2IvmtZu1I/AAAAAAAAJKQ/gP_kLBaeZEoVcXPPh54tE7oXFmcl4aJGACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200420_135552_878.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakipata Maelezo ya Ujenzi wa Mradi wa Maduka kutoka kwa Mchumi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Mathias Shindika kuhusu ujenzi wa Maduka kwenye Kata ya Levolosi jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na kamati ya ulinzi na Usalama wakielekea Shule ya Sekondari Moivaro kunakojengwa madarasa manne ikiwa ni utekelezaji wa ujenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gPISZ9-UBYk/XswOrovRM4I/AAAAAAALre8/SaLwAP6mxe887muL0tiOa_Go8ewVxoyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/4f298494-9e52-4e35-9446-407d8d3a8dfb.jpg)
RC MAKONDA AMUELEKEZA MKANDARASI WA UJENZI WA STAND MPYA YA MABASI YA MBEZI LUIS KUKABIDHI MRADI KWA MUDA ULIOPANGWA.
RC Makonda amesema ujenzi wa Stand hiyo unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 50.9 na itakuwa na uwezo wa kuegesha Mabasi Makubwa 700 na Magari Madogo yasiyopungua 300 ambapo ndani yake kutakuwa na Jengo la abiria, Jengo la utawala, Shopping...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-S4FNTAwxH6w/U8Wa_ZjCgCI/AAAAAAAF2kk/vg7Zv_T7HpU/s72-c/unnamed+(7).jpg)
DKT.MAGUFULI AIBUKIA MKOA WA NJOMBE, ASISITIZA BARABARA ZA KWENDA LIGANGA ZIKAMILIKE NDANI YA MUDA ULIOPANGWA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s72-c/unnamed+(23).jpg)
wajumbe wa bunge maalum wahitimisha zoezi la kuapa kwa muda uliopangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-TGfB4SnXNfo/UyVnLFMAkGI/AAAAAAAFT7k/-Tz_4mnM7WQ/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fr4oCJ66EEk/UyVnK0D_hjI/AAAAAAAFT7c/XASx6aFTyJ0/s1600/unnamed+(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wyztZuzeng4/UyVnLFL8NHI/AAAAAAAFT7g/hIyjDqZPvVs/s1600/unnamed+(25).jpg)
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Mama amtelekeza mtoto ndani ya karatasi
11 years ago
KwanzaJamii27 Apr
Mtoto aliyetupwa ndani ya gunia na mama yake
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s72-c/24.jpg)
KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s1600/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hxJZmCQYTkY/VLqt6wm1XWI/AAAAAAAAVs8/305rw5tkR-A/s1600/25.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u-c0i4YStOA/VLqt8EHw92I/AAAAAAAAVtI/U54sGGxCCbo/s1600/28.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iNRKN4mfkJs/VLqt99GCV1I/AAAAAAAAVtY/s8ZrDk_y5Xw/s1600/30.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aOTvFtETaHk/VLquDL741hI/AAAAAAAAVt4/OaEPL04GGt0/s1600/37.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Phh4nsEePrc/XmCO3qmCO_I/AAAAAAALhHk/kMulLVWtHfU7lZfiWK8_qJTczoF9vidbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BMKUU%2BWILAYA.jpg)
DC LUDEWA AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WANARIPOTI SHULENI KABLA YA MACHI 31
Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani njombe Andrea Tsere amewataka madiwani wa kata mbalimbali pamoja na wakuu wa shule kuhakikisha wanafunzi 645 wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shuleni kuanza masomo, wanaripoti kabla ya march 31 kuanza masomo hayo.
Agizo hilo amelitoa katika mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika hivi karibuni wilayani humo ambao ulishirikisha madiwani, wakuu wa shule, pamoja na wadau wengine kutoka Nyanja mbalimbali.
Alisema jumla ya wanafunzi...
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Mtoto wa Mama Ntilie Jumaa Aweso ashinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani CCM Pangani
Ndugu Jumaa Aweso.
Na Mohammed Hammie, Pangani, Tanga
Mtoto wa mama ntilie mwenye uzao halisi kutoka wilayani Pangani mkoani Tanga, Ndugu Jumaa Aweso (pichani) ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha mapinduzi CCM.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo katibu wa CCM wilayani Pangani Bi Zaina Mlawa amesema kuwa, katika uchaguzi huo uliowashirikisha wagombea wapatao kumi na moja, Ndugu Aweso amekuwa wa kwanza miongoni mwa wagombea hao.
Uchaguzi huo uliokuwa na...