DC LUDEWA AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WANARIPOTI SHULENI KABLA YA MACHI 31
![](https://1.bp.blogspot.com/-Phh4nsEePrc/XmCO3qmCO_I/AAAAAAALhHk/kMulLVWtHfU7lZfiWK8_qJTczoF9vidbQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2BMKUU%2BWILAYA.jpg)
Na Shukrani Kawogo,LUDEWA
Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani njombe Andrea Tsere amewataka madiwani wa kata mbalimbali pamoja na wakuu wa shule kuhakikisha wanafunzi 645 wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shuleni kuanza masomo, wanaripoti kabla ya march 31 kuanza masomo hayo.
Agizo hilo amelitoa katika mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika hivi karibuni wilayani humo ambao ulishirikisha madiwani, wakuu wa shule, pamoja na wadau wengine kutoka Nyanja mbalimbali.
Alisema jumla ya wanafunzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GO3SQUgkAzg/Xr0fKjSzJYI/AAAAAAALqLA/8GxMKHyLZjAnROaMK4KgWP77OVkKGeZqgCLcBGAsYHQ/s72-c/73ee6664-8517-47de-946c-20d14b3656fa.jpg)
DC LUDEWA AWASISITIZA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WAO WANAPATA ELIMU BORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GO3SQUgkAzg/Xr0fKjSzJYI/AAAAAAALqLA/8GxMKHyLZjAnROaMK4KgWP77OVkKGeZqgCLcBGAsYHQ/s640/73ee6664-8517-47de-946c-20d14b3656fa.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j4G00-WWrzE/Xr0fJszCF5I/AAAAAAALqK4/Qur5F1JoGFMxqRcU6jibKTPgncC8VcRoACLcBGAsYHQ/s640/0ee5a40c-557c-42a9-9280-0091e3f2c9eb%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uZEXrKEFIoU/Xr0fJ64AJ7I/AAAAAAALqK8/swDbAYagS1kRiySUXCpuB2MhVLdYc2IUgCLcBGAsYHQ/s640/2c188978-fc3d-4ed4-b9bb-32e14222c811.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vHGYXYXb9Lg/Xr0fLOuB_aI/AAAAAAALqLE/P57Zwo4ty3kAdpgL9evfkHlyZhYmfpbIQCLcBGAsYHQ/s640/a7f6f638-f38e-4d2d-be88-50de3237c566.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s72-c/24.jpg)
KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9elIDFmsp2I/VLqt4vXpkZI/AAAAAAAAVsw/bOYjM1iTwvg/s1600/24.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hxJZmCQYTkY/VLqt6wm1XWI/AAAAAAAAVs8/305rw5tkR-A/s1600/25.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u-c0i4YStOA/VLqt8EHw92I/AAAAAAAAVtI/U54sGGxCCbo/s1600/28.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iNRKN4mfkJs/VLqt99GCV1I/AAAAAAAAVtY/s8ZrDk_y5Xw/s1600/30.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aOTvFtETaHk/VLquDL741hI/AAAAAAAAVt4/OaEPL04GGt0/s1600/37.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MiqnXhmxbXs/XstplUJpn-I/AAAAAAABMPE/zpRNBk1f4M4Ak-MOQJVNl9tFi5xZFibyACLcBGAsYHQ/s72-c/makonda.jpg)
RC MAKONDA AWAAGIZA MANISPAA YA ILALA KUHAKIKISHA HOSPITAL YA WILAYA INAANZA KUTOA HUDUMA KABLA JUNE MOSI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-MiqnXhmxbXs/XstplUJpn-I/AAAAAAABMPE/zpRNBk1f4M4Ak-MOQJVNl9tFi5xZFibyACLcBGAsYHQ/s400/makonda.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-8dFIxZXBszI/XstpnCPAk0I/AAAAAAABMPI/X6qLQoQoXcQhTyNBS6hTpTNiKz6PrXH-ACLcBGAsYHQ/s400/makonda%2B2.jpg)
10 years ago
MichuziMWENYEKITI BAVICHA KIJIJI CHA LUANA AWATAKA LUDEWA KUTOMPOTEZA FILIKUNJOMBE.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HmqMdF3hbRY/Xp2IvmtZu1I/AAAAAAAAJKQ/gP_kLBaeZEoVcXPPh54tE7oXFmcl4aJGACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200420_135552_878.jpg)
DC DAQARRO AWATAKA HALMASHAURI KUHAKIKISHA JENGO LA MRADI WA MAMA NA MTOTO LINAKAMILIKA NDANI YA MUDA ULIOPANGWA Inbox x
![](https://1.bp.blogspot.com/-HmqMdF3hbRY/Xp2IvmtZu1I/AAAAAAAAJKQ/gP_kLBaeZEoVcXPPh54tE7oXFmcl4aJGACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200420_135552_878.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakipata Maelezo ya Ujenzi wa Mradi wa Maduka kutoka kwa Mchumi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Mathias Shindika kuhusu ujenzi wa Maduka kwenye Kata ya Levolosi jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-Lvo7hIMDqj4/Xp2JTJdUzLI/AAAAAAAAJKg/uE0wHscF2H8YQKsN8xE8ZWkJ_-WRkhCkQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200420_105619_054.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na kamati ya ulinzi na Usalama wakielekea Shule ya Sekondari Moivaro kunakojengwa madarasa manne ikiwa ni utekelezaji wa ujenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yY4Xe6DNog8/XnjNyQm-X1I/AAAAAAALk1w/l73Q1Yjo36Y-ua5Joq3KK2idh8HFs2kEwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_648_800x420_0_0_auto.jpg)
WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA ARUMERU WAKUBALIANA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI NA UTORO SHULENI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s72-c/unnamed+(25).jpg)
mkuu wa mkoa wa lindi akagua miradi ya maendeleo wilayani liwale, atoa agizo kwa Wazazi kuhakikisha watoto waliopasi kuingia sekondari wawe wameripoti shuleni ndani ya siku 7
![](http://2.bp.blogspot.com/-LdUBNYpOQ8c/Uwvv5OQztJI/AAAAAAAFPVQ/gWaAl8Wmq60/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-McO1S_5cpgw/Uwvv5M_DPqI/AAAAAAAFPVI/moQ0LK-HLx4/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6HCzY7_P8Ng/Uwvv5fCYQjI/AAAAAAAFPVM/RMRR6eb9yTQ/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--KIC2sVOEYE/Uwvv5-rL3yI/AAAAAAAFPVY/-Djtn1iETgM/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYSZOLG1dVo/Uwvv52SIYTI/AAAAAAAFPVo/1rDgW2VFyYw/s1600/unnamed+(30).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cwmbHT58lMc/XpatbGYzeDI/AAAAAAALm_o/Hvs9BdltRbIm4rPCvhSCaK_GxoxEcRPLACLcBGAsYHQ/s72-c/7066cc2d-7b52-427b-a960-1944637a0e26.jpg)
WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA
Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...