Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC LUDEWA AWATAKA MADIWANI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WANARIPOTI SHULENI KABLA YA MACHI 31

Na Shukrani Kawogo,LUDEWA

Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani njombe Andrea Tsere amewataka madiwani wa kata mbalimbali pamoja na wakuu wa shule kuhakikisha wanafunzi 645 wa kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shuleni kuanza masomo, wanaripoti kabla ya march 31 kuanza masomo hayo.

Agizo hilo amelitoa katika mkutano wa wadau wa elimu uliofanyika hivi karibuni wilayani humo ambao ulishirikisha madiwani, wakuu wa shule, pamoja na wadau wengine kutoka Nyanja mbalimbali.

Alisema jumla ya wanafunzi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DC LUDEWA AWASISITIZA WAZAZI KUHAKIKISHA WATOTO WAO WANAPATA ELIMU BORA

 Mkurugenzi wa taasisi ya PADECO akikagua vyumba vya jengo la utawala. Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Andrea Tsere (kulia) akikagua jengo la utawala linaloendelea kujengwa
 Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Adrea Tsere(Kushoto) akielekezwa ramani ya ujenzi wa shule ya Nicopolis Academy, kulia ni mmiliki wa shule hiyo Augustino Mwinuka  Diwani wa kata ya Ludewa Monica Mchiro(kulia) akiangalia vyumba vya madarasa ambavyo vinaendelea kujengwa Mkuu wa wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Andrea Tsere amewataka...

 

5 years ago

Michuzi

ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI

Naibu Katibu Mkuu Tamisemi anayeshughulikia Elimu, Gerald Mweli akitoa ripoti ya kurejea shuleni kwa wanafunzi wa kidato cha sita.
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA AWATAKA WANA CCM KUSHIKAMA KUHAKIKISHA CHAMA KINABAKI IMARA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa Tawi la Kijito Upele jimbo la Fuoni.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wana CCM wa tawi la Tungujani.
 
 Wana CCM wa Jimbo la Kiembesamaki wakionyesha ujumbe wa kuunga mkono Katiba iliyopendekezwa.

 Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM (Zanzibar) Shaka Hamdu Shaka akihutubia wakazi wa Jimbo la Dimani kwenye uwanja wa Magereza Tomondo.

 Balozi Ali Karume akihutubia wakazi wa jimbo la Dimani ambapo aliwaambia Katiba...

 

5 years ago

CCM Blog

RC MAKONDA AWAAGIZA MANISPAA YA ILALA KUHAKIKISHA HOSPITAL YA WILAYA INAANZA KUTOA HUDUMA KABLA JUNE MOSI.



*****************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amewaelekeza Manispaa ya Ilala kuhakikisha Hospital mpya ya Wilaya hiyo iliyopo Kata ya Kivule inaanza kutoa huduma za kimatibabu kwa wananchi kabla ya June Mosi ambapo leo amewakabidhi magodoro 286 kwaajili ya Wagonjwa.RC Makonda amesema kama majengo yote ya Hospital yamekamilika haoni sababu ya kutokutumika ambapo amesema miongoni mwa huduma zitakazoanza kutolewa ni pamoja na Huduma ya Mama na Mtoto, OPD, Uzazi na...

 

10 years ago

Michuzi

MWENYEKITI BAVICHA KIJIJI CHA LUANA AWATAKA LUDEWA KUTOMPOTEZA FILIKUNJOMBE.

Mbunge  wa  Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe  akizungumza na   baadhi ya  wananchi  wa kijiji  cha Luana waliojitokeza kuungana nae katika maendeleo ya  kuchimba mifereji ya kutolea maji katika barabara yenye urefu wa km 2  aliyowachongea Mbunge  wa Ludewa Deo Filikunjombe  akielekea  kujumuika na  wananchi wake wa  kijiji  cha Luana  kuchimba mifereji ya kutolea maji katika barabara ya kijiji  cha Luana ambayo ameshirikiana na  wananchi hao kuichonga Wananchi  wa Luana  wakielekea kazini...

 

5 years ago

Michuzi

DC DAQARRO AWATAKA HALMASHAURI KUHAKIKISHA JENGO LA MRADI WA MAMA NA MTOTO LINAKAMILIKA NDANI YA MUDA ULIOPANGWA Inbox x


Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt.Maulid Madeni wakipata Maelezo ya Ujenzi wa Mradi wa Maduka kutoka kwa Mchumi wa halmashauri ya Jiji la Arusha Mathias Shindika kuhusu ujenzi wa Maduka kwenye Kata ya Levolosi jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha

Mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro akiwa na kamati ya ulinzi na Usalama wakielekea Shule ya Sekondari Moivaro kunakojengwa madarasa manne ikiwa ni utekelezaji wa ujenzi...

 

5 years ago

Michuzi

WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA ARUMERU WAKUBALIANA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI NA UTORO SHULENI

Na Woinde Shizza, ARUMERUWajumbe wa baraza la madiwani Halmashauri ya Meru, wilayani Arumeru, wamekubaliana kuwa na agenda ya kutokomeza mimba za utotoni na utoro shuleni kudumu kwenye vikao vya Vijiji na Kata kwa kujikita kuelimisha jamii kuanzia ngazi ya familia. Wajumbe hao wameadhimia hilo, mara baada ya, madiwani wa Kata kadhaa kuwasilishwa taarifa zinazoonesha changamoto ya mimba za utotoni zinazowaka bili wanafunzi katika kata zao. Awali taarifa hizo zimethibitishwa na Idara...

 

11 years ago

Michuzi

mkuu wa mkoa wa lindi akagua miradi ya maendeleo wilayani liwale, atoa agizo kwa Wazazi kuhakikisha watoto waliopasi kuingia sekondari wawe wameripoti shuleni ndani ya siku 7

 Mkuu wa mkoa wa Lindi na ujumbe wake wakikagua Zahanati ya Kijiji cha Kikulyungu wilayani Liwale  Nyumba ya wahudumu wa Afya kijiji cha kikyulungu inayojengwa kwa Msaada wa Benjamin  Mkapa Foundation   Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Ludovick Mwananzila (mwenye suti ya kijivu) akikagua miradi ya Maendeleo wilayani Liwale  Mkuu wa mkoa wa lindi MheLudovick Mwananzila akihutubia wananchi wilayani liwale  kulia ni mkuu wa wilaya ya Liwale Mhe.  Ephraim Mmbaga Mkuu wa mkoa wa Lindi akikagua...

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE WAASWA KUACHA KUCHAFUANA NA KUFANYA KAMPENI KABLA YA MUDA


Na Shukrani Kawogo-Michuzi TV, Njombe.

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wilayani Ludewa Mkoani Njombe ikiwemo nafasi ya ubunge wametakiwa kuacha kuchafuana na kufanya kampeni kabla ya nafasi hizo kutangazwa kuwa wazi kwani kwa watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria ikiwemo kukatwa majina yao .

Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilayani humo Bakari Mfaume na kuongeza kuwa kumekuwa na matamanio kwa baadhi ya wanachama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani