WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA ARUMERU WAKUBALIANA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI NA UTORO SHULENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yY4Xe6DNog8/XnjNyQm-X1I/AAAAAAALk1w/l73Q1Yjo36Y-ua5Joq3KK2idh8HFs2kEwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_648_800x420_0_0_auto.jpg)
Na Woinde Shizza, ARUMERUWajumbe wa baraza la madiwani Halmashauri ya Meru, wilayani Arumeru, wamekubaliana kuwa na agenda ya kutokomeza mimba za utotoni na utoro shuleni kudumu kwenye vikao vya Vijiji na Kata kwa kujikita kuelimisha jamii kuanzia ngazi ya familia. Wajumbe hao wameadhimia hilo, mara baada ya, madiwani wa Kata kadhaa kuwasilishwa taarifa zinazoonesha changamoto ya mimba za utotoni zinazowaka bili wanafunzi katika kata zao. Awali taarifa hizo zimethibitishwa na Idara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s72-c/2-8-768x432.jpg)
DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s640/2-8-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-11-1024x576.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...
9 years ago
MichuziPINDI CHANA AMKABIDHI RAIS WA BARAZA KUU LA UN TAMKO LA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI
9 years ago
VijimamboMHE. PINDI CHANA AMKABIDHI RAIS WA BARAZA KUU LA UN TAMKO LA KUTOKOMEZA NDOA ZA UTOTONI
10 years ago
MichuziWAMA WAKISHIRIKIANA NA ENGENDER HEALTH WAANDAA SEMINA YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA WILAYA YA TEMEKE.
11 years ago
MichuziMh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...
9 years ago
MichuziRC DODOMA AZINDUA BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA KONGWA
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-STXE8EEMZl4/VMqi28BsLiI/AAAAAAAHAPg/T8eIu_Ogjqw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Baraza la madiwani Wilaya ya Arusha mjini lakutana kujadili bajet ya halmashauri hiyo kwa mwaka 2015/16
![](http://1.bp.blogspot.com/-STXE8EEMZl4/VMqi28BsLiI/AAAAAAAHAPg/T8eIu_Ogjqw/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Shinyanga yaongoza utoro wa watoto shuleni
MKOA wa Shinyanga umetajwa kuongoza kwa kuwa na watoto wengi wasiohudhuria shule ambapo hukimbilia katika uchimbaji wa madini. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu...