Bil. 3/- kujenga hospitali Kishapu
UJENZI wa hospitali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, inayotarajia kuanza kazi Oktoba mwaka huu unatarajia kugharimu sh bilioni tatu. Akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo kwa Waziri wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Dec
Bilioni 1/- kujenga stendi ya mabasi Kishapu
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imeanza ujenzi wa stendi ya mabasi ya abiria katika eneo la kijiji cha Isoso unaogharimu jumla ya Sh bilioni moja.
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Bil 8/- kujenga uwanja Chunya
KAMPUNI ya saruji mkoani hapa maarufu kama Mbeya Cement, imetoa mifuko 1,000 ya saruji sawa na tani 50 kusaidia kuendeleza ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo wilayani Chunya. Akizungumza...
9 years ago
Habarileo04 Oct
Mgodi watumia bil 1.7/- kujenga sekondari ya kisasa
MGODI wa Dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu. Ujenzi wa shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyamwaga kinachopakana na mgodi huo umeenda sambamba na ununuzi wa samani za ofisi za walimu, madarasa na maabara.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Aveva kujenga uwanja Bunju kwa Sh2.5 bil
11 years ago
Mwananchi25 Jun
MAJI: Mkopo wa Sh300 bil kujenga Bwawa la Kidunda
10 years ago
Habarileo07 Apr
Tanzanite One kujenga hospitali
KAMPUNI ya Tanzanite- One Limited ambayo hivi karibuni ilichukuliwa na wawekezaji wa ndani iko katika mchakato wa kujenga hospitali mpya kwa ajili ya wakazi wa mji wa Mirerani.
11 years ago
Mwananchi29 May
Magese kujenga hospitali
9 years ago
Habarileo09 Dec
Wahadharishwa kujenga eneo la hospitali
WANANCHI wanaoishi karibu na eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa katika kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutolitumia eneo hilo kwa shughuli yoyote ya ujenzi kujiepusha na hasara inayoweza kuwapata.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
KAM kujenga hospitali ya mafunzo
CHUO cha Tiba na Afya cha KAM cha jijini Dar es Salaam kimepanga kujenga hospitali kubwa ya mafunzo kwa wataalam wa afya ikiwa ni jitihada za kuongeza wataalam wa fani...