Magese kujenga hospitali
Mwanamitindo wa kimataifa na Miss Tanzania 2001, Happiness ‘Millen’ Magese, amesema anajipanga kujenga hospitali ya wanawake nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Naiomba Serikali kunipa eneo la Hospitali ya Wanawake — Millen Magese
MWANAMITINDO wa kimataifa wa hapa nchini na Miss Tanzania 2001 anaefanya kazi yake hiyo nchini Marekani Millen Magese ameiomba serikali kumpatia eneo ambalo atalitumia kujenga hospitali maalum ya kushugulikia afya ya wanawake.
Millen alitoa ombi hilo jana wakati akizungumza na watu mbalimbali waliohudhuria semina ya bure kuhusiana na hali ya Endometriosis inayowakabili wanawake wengi hapa nchini na Afrika kwa ujumla.
Millen anakabiliwa na tatizo hilo la Endometriosis ambalo ni hali ya...
10 years ago
Habarileo07 Apr
Tanzanite One kujenga hospitali
KAMPUNI ya Tanzanite- One Limited ambayo hivi karibuni ilichukuliwa na wawekezaji wa ndani iko katika mchakato wa kujenga hospitali mpya kwa ajili ya wakazi wa mji wa Mirerani.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
KAM kujenga hospitali ya mafunzo
CHUO cha Tiba na Afya cha KAM cha jijini Dar es Salaam kimepanga kujenga hospitali kubwa ya mafunzo kwa wataalam wa afya ikiwa ni jitihada za kuongeza wataalam wa fani...
9 years ago
Habarileo09 Dec
Wahadharishwa kujenga eneo la hospitali
WANANCHI wanaoishi karibu na eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa katika kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutolitumia eneo hilo kwa shughuli yoyote ya ujenzi kujiepusha na hasara inayoweza kuwapata.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Bil. 3/- kujenga hospitali Kishapu
UJENZI wa hospitali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, inayotarajia kuanza kazi Oktoba mwaka huu unatarajia kugharimu sh bilioni tatu. Akisoma taarifa ya ujenzi wa hospitali hiyo kwa Waziri wa...
11 years ago
Mwananchi04 May
TBA kujenga hospitali ya kisasa Shinyanga
11 years ago
Habarileo24 Jan
WAMA kujenga hospitali maalumu ya wazazi
TAASISI ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imekusudia kujenga hospitali maalumu ya wazazi, lengo likiwa ni kuhakikisha wanasaidia juhudi za kupunguza vifo vya uzazi nchini. WAMA pia imepanga kujenga shule ya sekondari sawa na ile ya WAMA Nakayama iliyoko Rufiji mkoani Pwani ikisomesha watoto yatima na wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kifedha.
11 years ago
Habarileo09 Feb
Aga Khan kujenga hospitali ya kisasa
TAASISI ya Aga Khan inatarajia kujenga hospitali kubwa ya kisasa nchini.
11 years ago
BBCSwahili22 Mar
Yachukua miaka 60 kujenga hospitali DRC