Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBA kujenga hospitali ya kisasa Shinyanga

Wakala wa Majengo Mkoa wa Shinyanga (TBA), imeanza ujenzi wa hospitali ya kisasa ya rufaa katika eneo la Ndala kwa gharama ya Sh900 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Aga Khan kujenga hospitali ya kisasa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.TAASISI ya Aga Khan inatarajia kujenga hospitali kubwa ya kisasa nchini.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA HOSPITALI KUBWA NA YA KISASA YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI MUHIMBILI KISASA KIJIJINI MLOGANZILA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chung IL wakikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali kubwa na ya kisasa ya Chuo Kikuuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha Muhimbili kijijini Mloganzila maeneo ya Kwembe, Kilometa 24 kutoka jijini Dar es salaam, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa hospitali hiyo itakayokuwa kubwa kuliko zote nchini leo April 24, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Korea nchini Mhe. Chungh...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA KASI UJENZI WA HOSPITALI YA UHURU, ATOA MAAGIZO KWA TBA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akitoa maelekezo kwa Wakala wa Majengo Nchini (TBA) alipofika kutembelea ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino, Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo (kulia) akikagua ujenzi wa Hospitali ya Uhuru inayojengwa wilayani Chamwino, Dodoma. Ziara hiyo ameifanya leo ambapo aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge (katikati).Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akipokea...

 

11 years ago

Mwananchi

JK aahidi kujenga magereza ya kisasa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameahidi kuwa Serikali itajenga magereza ya kisasa na yenye hadhi nchini ili kupunguza msongamano wa wafungwa gerezani na kukiri hali ni mbaya kwani mrundikano wa mahabusu na wafungwa ni mkubwa na kuchangia wafungwa kulala mzungu wa nne.

 

10 years ago

Habarileo

Uholanzi kujenga wodi ya kisasa ya akinamama

BALOZI wa Uholanzi nchini, Jaap Fredriks amesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa wodi ya kisasa ya kutoa huduma kwa akinamama wajawazito itasaidia kupunguza vifo na kuona akinamama wanajifungua salama.

 

10 years ago

Habarileo

Mgodi watumia bil 1.7/- kujenga sekondari ya kisasa

MGODI wa Dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu. Ujenzi wa shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyamwaga kinachopakana na mgodi huo umeenda sambamba na ununuzi wa samani za ofisi za walimu, madarasa na maabara.

 

10 years ago

Vijimambo

ACACIA YATUMIA MILIONI 400 KUJENGA MAABARA SHINYANGA

Meneja Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi,Mhandisi Philbert Rweyemamu(kushoto) akiwa na Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Bi Josephine Matiro wakati wa uzinduzuzi wa jengo la Maabara katika shule ya Sekondari Ngokolo lililojengwa kwa ufadhili wa kampuni ya kuchimba Dhahabu ya Buzwagi. Jengo la Maabara lililojengwa kwa ufadhili wa Mgodi wa Kuchimba Dhahabu wa Buzwagi katika shule ya sekondari Ngokolo iliyopo wilani Shinyanga. Baadhi ya wanafunzi katika shule ya sekondari Ngokolo iliyopo wilayani Shinyanga...

 

11 years ago

Mwananchi

NHC sasa kujenga miji ya kisasa Dar es salaam

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limepata mkopo wa Dola za kimarekani 1.7 bilioni kutoka China kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa miradi mitatu mikubwa ya miji ya kisasa jijini Dar es salaam.

 

10 years ago

StarTV

Timu za ligi kuu shinyanga awaomba mashabiki kujenga mshikamano

 Wakati mkoa wa Shinyanga ukijipanga kuongeza zaidi timu za ligi kuu, mkuu wa mkoa huo Alhaj Ally Nassoro Lufunga amewakumbusha mashabiki kujenga mshikamano ili malengo hayo yatimie.

Mkuu huyo wa mkoa ambaye ni shabiki wa michezo amewataka mashabiki wa soka mkoani humo wajenge wivu wa kimaendeleo na siyo malumbano ambayo mwisho wake siyo mzuri.

 

Rai hiyo ya mkuu wa mkoa ameitoa baada ya kubaini kuwepo na kinyongo kutoka kwa mashabiki Mwadui FC kwa madai Serikali mkoani humo na wadau wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani