Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aahidi kujenga magereza ya kisasa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameahidi kuwa Serikali itajenga magereza ya kisasa na yenye hadhi nchini ili kupunguza msongamano wa wafungwa gerezani na kukiri hali ni mbaya kwani mrundikano wa mahabusu na wafungwa ni mkubwa na kuchangia wafungwa kulala mzungu wa nne.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa aahidi bandari ya kisasa Kigoma

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amewaahidi wakazi wa mkoa wa Kigoma kuwa atajenga bandari ya kisasa ikiwa watamchagua kuwa rais wa awamu ya tano katika uchaguzi mkuu ujao.

 

9 years ago

Habarileo

Aahidi kujenga kiwanda cha korosho

MGOMBEA Mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema iwapo mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli atapata ridhaa ya kuunda serikali ya awamu ya tano, atajenga kiwanda cha kisasa cha kubangua na kufungasha korosho katika wilaya ya Mkuranga.

 

11 years ago

Mwananchi

TBA kujenga hospitali ya kisasa Shinyanga

Wakala wa Majengo Mkoa wa Shinyanga (TBA), imeanza ujenzi wa hospitali ya kisasa ya rufaa katika eneo la Ndala kwa gharama ya Sh900 milioni.

 

10 years ago

Habarileo

Uholanzi kujenga wodi ya kisasa ya akinamama

BALOZI wa Uholanzi nchini, Jaap Fredriks amesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa wodi ya kisasa ya kutoa huduma kwa akinamama wajawazito itasaidia kupunguza vifo na kuona akinamama wanajifungua salama.

 

11 years ago

Habarileo

Aga Khan kujenga hospitali ya kisasa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.TAASISI ya Aga Khan inatarajia kujenga hospitali kubwa ya kisasa nchini.

 

9 years ago

Habarileo

Mgodi watumia bil 1.7/- kujenga sekondari ya kisasa

MGODI wa Dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu. Ujenzi wa shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyamwaga kinachopakana na mgodi huo umeenda sambamba na ununuzi wa samani za ofisi za walimu, madarasa na maabara.

 

10 years ago

Habarileo

JK aahidi kuisukuma NHC kujenga nyumba Chemba lakini…

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Halmashauri ya Chemba kutoa ardhi kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ili liweze kujenga nyumba kwa ajili ya watumishi wa halmashauri hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Samia aahidi kujenga chuo cha mafunzo Kwimba

MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Jimbo la Kwimba mkoani Mwanza kuwa Serikali ya awamu ya tano ya CCM itawajengea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) ili kuwapatia fursa vijana wa jimbo hilo kupata mafunzo ya ufundi.

 

10 years ago

Mwananchi

NHC sasa kujenga miji ya kisasa Dar es salaam

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limepata mkopo wa Dola za kimarekani 1.7 bilioni kutoka China kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa miradi mitatu mikubwa ya miji ya kisasa jijini Dar es salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani