Samia aahidi kujenga chuo cha mafunzo Kwimba
MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Jimbo la Kwimba mkoani Mwanza kuwa Serikali ya awamu ya tano ya CCM itawajengea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) ili kuwapatia fursa vijana wa jimbo hilo kupata mafunzo ya ufundi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Mar
Chuo cha takwimu cha India kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya mafunzo ya watalamu wa Chuo ch EASTC
Mkuu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) Prof. Innocent Ngalinda akimwelezea Naibu Balozi wa India nchini Balvinder Humpal kuhusu chumba cha kompyuta kilichopo chuoni hapo wakati wa kuangalia maadalizi ya kutiliana saini ya Mkataba wa Makubaliano ya Mafunzo ya Watalaam wa Takwimu wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika na Chuo cha Takwimu cha nchini India utakaosainiwa tarehe 28 Machi, 2015.(PICHA NA VERONICA KAZIMOTO).
Na Veronica Kazimoto, MAELEZO
Chuo cha Takwimu Mashariki...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s72-c/EASTC%2B7.jpg)
CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA KUTILIANA SAINI YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MAFUNZO YA WATALAAM WA TAKWIMU NA CHUO CHA TAKWIMU CHA INDIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AkmPItJ2l1E/VQhNHqO0eDI/AAAAAAAHLEY/xGoLX7n3mro/s1600/EASTC%2B7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IoEQ5edr-Yw/VQhNGNj0rFI/AAAAAAAHLEM/p8_GDc4VALs/s1600/EASTC%2B5.jpg)
9 years ago
Habarileo14 Sep
Aahidi kujenga kiwanda cha korosho
MGOMBEA Mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema iwapo mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli atapata ridhaa ya kuunda serikali ya awamu ya tano, atajenga kiwanda cha kisasa cha kubangua na kufungasha korosho katika wilaya ya Mkuranga.
11 years ago
Uhuru Newspaper08 Jul
Ridhiwani kujenga chuo cha walemavu
NA MWANDISHI WETU
MBUNGE wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, ametoa eneo la ekari 20 kwa ajili ya ujenzi wa chuo maalumu cha watu wenye ulemavu kitakachojengwa Chalinze, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani.
Chuo hicho kitajengwa na mjini Chalinze kwa ufadhili wa rafiki wa mbunge huyo aliyeko nchini Uingereza, James James, ambaye ni ana ulemavu wa ngozi.
Akizungumzia msaada huo, Ridhiwani alisema alikutana na James na kumwomba awasaidie walemavu wa ngozi katika jimbo lake ili wapate vifaa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cy3y4mouszE/U5vkoHoRSHI/AAAAAAAFqf0/ldoYhzRbaFk/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Chuo cha Bahari-DMI cha saini makubaliano ya mafunzo ya ubaharia na UNRA(U)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cy3y4mouszE/U5vkoHoRSHI/AAAAAAAFqf0/ldoYhzRbaFk/s1600/unnamed+(10).jpg)
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Bahari,Ing. Yassin M. Songoro , Mkuu wa Idara ya fedha,Bw. Mussa Kondo na Mkuu wa kozi fupi,Bw. Hilal Salum waliiwakilisha DMI na kwa upande wa UNRA Mkurugenzi Mtendaji,Bw. Ssebbugga Kimeze,Ing....
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Chuo cha Aga Khan kujenga hospitali Kampala
10 years ago
MichuziMADEREVA 21 WA KAMPUNI YA MAJINJAH LOGISTICS LTD WAPATIWA MAFUNZO CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT) WAHITIMU WAPEWA VYETI.
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Bilioni 1.5 kujenga makazi ya kudumu ya chuo cha uandishi wa habari Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (aliyevaa joho rangi ya zambarau) akiambatana na Waziri wa Habari,Utamaduni, Utalii na Michezo Mh. Said Ali Mbarouk (kulia kwake) pamoja na Mkuu wa Taaluma wakiyapokea maandamano ya wahitimu 105 wa cheti na Stashahada wa Chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar waliomaliza mafunzo yao mkupuo wa sita.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Waandishi wa Habari Nchini wana nafasi kubwa ya kuitumia Taaluma yao katika...