Ridhiwani kujenga chuo cha walemavu
NA MWANDISHI WETU
MBUNGE wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, ametoa eneo la ekari 20 kwa ajili ya ujenzi wa chuo maalumu cha watu wenye ulemavu kitakachojengwa Chalinze, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani.
Chuo hicho kitajengwa na mjini Chalinze kwa ufadhili wa rafiki wa mbunge huyo aliyeko nchini Uingereza, James James, ambaye ni ana ulemavu wa ngozi.
Akizungumzia msaada huo, Ridhiwani alisema alikutana na James na kumwomba awasaidie walemavu wa ngozi katika jimbo lake ili wapate vifaa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Vikwazo vinavyofifisha malengo Chuo cha Walemavu Yombo
WIKI ya Kimataifa kwa Vitendo (Global Action Week) yenye kaulimbiu ya ‘Elimu na Watoto wenye Ulemavu’ iliyoanza Mei 4 mwaka huu, imeibua changamoto lukuki zinazowakabili wanafunzi wenye ulemavu katika Chuo...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
KOICA wakipiga jeki chuo cha walemavu Sabasaba Singida
Kaimu mwakilishi wa shirika la KOICA Tanzania, Jieun Park, akizungumza kwenye sherehe za uzinduzi rasmi wa mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya chuo cha ufundi kwa watu wenye ulemavu cha Sabasaba mjini Singida.Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida, Saidi Alli Amanzi na kushoto ni mwenyekiti wa walemavu wa ngozi mkoa wa Singida.
Mkuu wa chuo cha ufundi kwa watu wenye ulemavu cha Sabasaba manispaa ya Singida, Fatuma Malenga,akitoa taarifa yake kwenye sherehe ya uzinduzi wa mradi wa...
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Wahitimu chuo cha ufundi kwa walemavu wakosa ajira
WAHITIMU wa Chuo cha Ufundi cha watu wenye ulemavu Yombo wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa ajira kutokana na mtazamo potofu wa jamii. Hayo yalibainishwa juzi jijini Dar es Salaam...
9 years ago
StarTV30 Dec
Majengo machakavu changamoto kwa walemavu Chuo Cha Ufundi Yombo
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu Dokta Abdallah Possi ameeleza kusikitishwa na hali aliyoikuta katika Chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye ulemavu.
Katika ziara yake ya kwanza tangu ateuliwa kushika wadhifa huo, Dokta Possi amekuta uchakavu wa majengo ya chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa ekari Tano.
Dk. Possi ambaye alifika chuoni hapo alianza kwa kukagua maeneo yanayozunguka chuo hicho na kujionea hali halisi ya chuo hicho kilichodaiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
DIWANI AOMBA CHUO KIPYA CHA UFUNDI KWA WALEMAVU MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
Diwani wa Kata ya Utemini, Baltazar Kimario.
Na Ismail Luhamb,Singida.
DIWANI wa Kata ya Utemini Manispaa ya Singida, Baltazar Kimario, ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kujenga chuo kipya cha ufundi stadi cha kwa ajili ya watu wenyeulemavu mkoani hapa.
Akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha baraza la madiwani kilicho keti mwishoni mwa wiki, Kimario, alisema chuo kinachoendelea kutumika kilijengwa miaka ya 70 hivyo miundombinu yake imechakaa inahitaji ukarabati wa...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Chuo cha Aga Khan kujenga hospitali Kampala
9 years ago
Habarileo09 Oct
Samia aahidi kujenga chuo cha mafunzo Kwimba
MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Jimbo la Kwimba mkoani Mwanza kuwa Serikali ya awamu ya tano ya CCM itawajengea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) ili kuwapatia fursa vijana wa jimbo hilo kupata mafunzo ya ufundi.
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Bilioni 1.5 kujenga makazi ya kudumu ya chuo cha uandishi wa habari Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (aliyevaa joho rangi ya zambarau) akiambatana na Waziri wa Habari,Utamaduni, Utalii na Michezo Mh. Said Ali Mbarouk (kulia kwake) pamoja na Mkuu wa Taaluma wakiyapokea maandamano ya wahitimu 105 wa cheti na Stashahada wa Chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar waliomaliza mafunzo yao mkupuo wa sita.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Waandishi wa Habari Nchini wana nafasi kubwa ya kuitumia Taaluma yao katika...
10 years ago
GPLBALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA KUKAGUA ENEO LA KUJENGA CHUO CHA KISASA CHA UFUNDI (VETA) NA KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MKOA