Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOICA wakipiga jeki chuo cha walemavu Sabasaba Singida

DSC05241

Kaimu mwakilishi wa shirika la KOICA Tanzania, Jieun Park, akizungumza kwenye sherehe za uzinduzi rasmi wa mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya chuo cha ufundi kwa watu wenye ulemavu cha Sabasaba mjini Singida.Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida, Saidi Alli Amanzi na kushoto ni mwenyekiti wa walemavu wa ngozi mkoa wa Singida.

DSC05232

Mkuu wa chuo cha ufundi kwa watu wenye ulemavu cha Sabasaba manispaa ya Singida, Fatuma Malenga,akitoa taarifa yake kwenye sherehe ya uzinduzi wa mradi wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

DIWANI AOMBA CHUO KIPYA CHA UFUNDI KWA WALEMAVU MKOANI SINGIDA



Diwani wa Kata ya Utemini, Baltazar Kimario.


Na Ismail Luhamb,Singida.

DIWANI wa Kata ya Utemini Manispaa ya Singida, Baltazar Kimario, ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kujenga chuo kipya cha ufundi stadi cha kwa ajili ya watu wenyeulemavu mkoani hapa.

Akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha baraza la madiwani kilicho keti mwishoni mwa wiki, Kimario, alisema chuo kinachoendelea kutumika kilijengwa miaka ya 70 hivyo miundombinu yake imechakaa inahitaji ukarabati wa...

 

11 years ago

Michuzi

Airtel Divas yatembelea kikundi cha Sauti ya walemavu kwenye Maonyesho ya Biashara ya Sabasaba

Wanachama wa Kikundi cha Wanawake wafanyakazi wa Airtel Tanzania ‘Airtel Divas’, Meneja wa Huduma kwa Jamii, Hawa Bayumi (kushoto), Afisa Uhusiano, Jane Matinde (wa pili kushoto), na Afisa mauzo, Rachael Mboya (kulia), wakichagua bidhaa zilizotengenezwa na Kikundi cha Sauti ya Wanawake wenye Ulemavu Tanzania (SWAUTA) cha Kinondoni, walipotembelea Banda la Swauta, lililopo katika Uwanja wa Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam jana. Airtel...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL DIVAS YATEMBELEA KIKUNDI CHA SAUTI YA WALEMAVU KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA YA SABASABA

Afisa Mauzo wa Airtel , Rachael Mboya,akiangalia kazi ya kikundi cha ulemavu ikiwemo kushona na uwezo wa kusoma vitabu mbalimbali vilivyopo katika banda lao wakati wanawake wa Airtel Divas walipotembelea banda lao katika maoenyesho ya sabasaba.
Baadhi ya wafanyakazi wa Airtel wakiwa katika picha ya pamoja na kikundi SWAUTA katika banda lao kwenye maonyesho ya Sabasaba, ambapo Airtel Divas… ...

 

10 years ago

Michuzi

CRDB YAIPIGA 'JEKI' CHUO KIKUU CHA ST JOHN'S DODOMA


Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred akihutubia wakati wa Mahafali ya 5 ya Chuo Kikuu cha St. John's  Mjini Dodoma mwishoni mwa wiki. (Na Mpiga Picha Wetu)
Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dodoma, Dickson Chilongani (kushoto), akikabidhiwa na Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya CRDB, Philip Alfred, mfano wa hundi na bahasha mara baada ya hotuba. Hundi hiyo ina thamani ya hundi ya sh. milioni 10 ukiwa ni msaada wa benki hiyo kwa Chuo Kikuu cha St. John's...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Ridhiwani kujenga chuo cha walemavu


NA MWANDISHI WETU
MBUNGE wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, ametoa eneo la ekari 20 kwa ajili ya ujenzi wa chuo maalumu cha watu wenye ulemavu kitakachojengwa  Chalinze, wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani.
Chuo hicho kitajengwa na mjini Chalinze kwa ufadhili wa rafiki wa mbunge huyo aliyeko nchini Uingereza, James James, ambaye ni ana ulemavu wa ngozi.
Akizungumzia msaada huo, Ridhiwani alisema alikutana na James na kumwomba awasaidie walemavu wa ngozi katika jimbo lake ili wapate vifaa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vikwazo vinavyofifisha malengo Chuo cha Walemavu Yombo

WIKI ya Kimataifa kwa Vitendo (Global Action Week) yenye kaulimbiu ya ‘Elimu na Watoto wenye Ulemavu’ iliyoanza Mei 4 mwaka huu,  imeibua changamoto lukuki zinazowakabili wanafunzi wenye ulemavu katika Chuo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahitimu chuo cha ufundi kwa walemavu wakosa ajira

WAHITIMU wa Chuo cha Ufundi cha watu wenye ulemavu Yombo wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa ajira kutokana na mtazamo potofu wa jamii. Hayo yalibainishwa juzi jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

StarTV

Majengo machakavu changamoto kwa walemavu Chuo Cha Ufundi Yombo

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu Dokta Abdallah Possi ameeleza kusikitishwa na hali aliyoikuta katika Chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye ulemavu.

Katika ziara yake ya kwanza tangu ateuliwa kushika wadhifa huo, Dokta Possi amekuta uchakavu wa majengo ya chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa ekari Tano.

Dk. Possi ambaye alifika chuoni hapo alianza kwa kukagua maeneo yanayozunguka chuo hicho na kujionea hali halisi ya chuo hicho kilichodaiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Global Education Link yavialika Chuo kikuu cha Sharda na Lovely Professional vya India kushiriki maonyesho ya sabasaba jijini Dar

Mkurugenzi wa Global Education Link ambao ni Mawakala wa Vyuo Vya Nje ya nchi, Bw. Abdulmalik Mollel (wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa vyuo vya nje ya nchi kutoka kushoto ni Meneja Miradi wa Chuo Kikuu cha Lovely Professional cha Nchini India, Bw. Gulshan Sandh na Bw. Sourabh Chaudhary pamoja na Meneja wa Kanda wa Chuo Kikuu cha Sharda cha nchini India, Bw. Deepak Kaushik mara baada ya kuwakaribisha katika ofisi yao iliyopo ndani ya maonyesho ya 39 ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani