Majengo machakavu changamoto kwa walemavu Chuo Cha Ufundi Yombo
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu Dokta Abdallah Possi ameeleza kusikitishwa na hali aliyoikuta katika Chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye ulemavu.
Katika ziara yake ya kwanza tangu ateuliwa kushika wadhifa huo, Dokta Possi amekuta uchakavu wa majengo ya chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa ekari Tano.
Dk. Possi ambaye alifika chuoni hapo alianza kwa kukagua maeneo yanayozunguka chuo hicho na kujionea hali halisi ya chuo hicho kilichodaiwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 May
Wahitimu chuo cha ufundi kwa walemavu wakosa ajira
WAHITIMU wa Chuo cha Ufundi cha watu wenye ulemavu Yombo wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa ajira kutokana na mtazamo potofu wa jamii. Hayo yalibainishwa juzi jijini Dar es Salaam...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
DIWANI AOMBA CHUO KIPYA CHA UFUNDI KWA WALEMAVU MKOANI SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aiCFHNqZ0sE/XorwMaZdU1I/AAAAAAAAkjg/7ubKnEzAp7EL2DiGGtM1j1i2dopVdgzWwCLcBGAsYHQ/s640/vlcsnap-2020-04-06-01h35m23s314.png)
Diwani wa Kata ya Utemini, Baltazar Kimario.
Na Ismail Luhamb,Singida.
DIWANI wa Kata ya Utemini Manispaa ya Singida, Baltazar Kimario, ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kujenga chuo kipya cha ufundi stadi cha kwa ajili ya watu wenyeulemavu mkoani hapa.
Akizungumza na waandishi wa habari katika kikao cha baraza la madiwani kilicho keti mwishoni mwa wiki, Kimario, alisema chuo kinachoendelea kutumika kilijengwa miaka ya 70 hivyo miundombinu yake imechakaa inahitaji ukarabati wa...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Vikwazo vinavyofifisha malengo Chuo cha Walemavu Yombo
WIKI ya Kimataifa kwa Vitendo (Global Action Week) yenye kaulimbiu ya ‘Elimu na Watoto wenye Ulemavu’ iliyoanza Mei 4 mwaka huu, imeibua changamoto lukuki zinazowakabili wanafunzi wenye ulemavu katika Chuo...
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU MPYA WA TBL AKAGUA MAJENGO WALIYOYAKABIDHI KWA CHUO KIKUU CHA STEPHANO MOSHI
9 years ago
Habarileo30 Sep
Majengo chuo cha tiba cha kijeshi yakabidhiwa
SERIKALI imekabidhiwa majengo mapya ya Chuo cha Sayansi na Tiba cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi. Akizungumza baada ya makabishidhiano hayo, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi (pichani) alisema chuo hicho kitasaidia kuongeza utoaji wa wataalamu wa tiba hususani madaktari.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Msondo; Chuo cha muziki kisicho na majengo
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Oym2B-kPpxk/U53b62KnFvI/AAAAAAAFqyo/Xl8AvONpm9s/s72-c/unnamed+(42).jpg)
siku ya familia ya Chuo cha Ufundi Arusha yafana
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oym2B-kPpxk/U53b62KnFvI/AAAAAAAFqyo/Xl8AvONpm9s/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hlEe0saAb_A/U53b92GBwCI/AAAAAAAFqzM/lmuw-VNEGJg/s1600/unnamed+(49).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iN1i_ZwiqTQ/U53b71EUFeI/AAAAAAAFqzg/3lfh_4iLBzk/s1600/unnamed+(45).jpg)