Uholanzi kujenga wodi ya kisasa ya akinamama
BALOZI wa Uholanzi nchini, Jaap Fredriks amesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa wodi ya kisasa ya kutoa huduma kwa akinamama wajawazito itasaidia kupunguza vifo na kuona akinamama wanajifungua salama.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWATAKIWA KUCHANGIA UJENZI WODI YA AKINAMAMA
Na John Gagarini, ChalinzeWAKAZI wa Kijiji cha Pongwe Kiona Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo wametakiwa kushirikiana na serikali ili kukamilisha ujenzi wa wodi ya akinamama.
Hayo yalisemwa na mgombea Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete kwenye Kijiji hicho wakati wa uzinduzi...
10 years ago
MichuziCBE YATOA MSAADA WA MASHUKA KWA AJILI YA WODI YA AKINAMAMA NA WATOTO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo08 Jan
HON:MWIGULU NCHEMBA AMETIMIZA MIAKA 40,ATUMIA SIKU YAKE KUCHANGIA DAMU,KUSALIMIA WATOTO YATIMA NA KUJULIA HALI WODI YA AKINAMAMA MWANANYAMALA
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10897865_329746773894224_4022456051591544317_n.jpg?oh=be0597820698fe745c8ef1586a88fa52&oe=552A298C)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10882217_329746427227592_4179705944178273149_n.jpg?oh=61f6d683b1626534e8facd3129906710&oe=552C5873)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10898113_329746323894269_6194214166908858610_n.jpg?oh=20119484b632aa1ad593d128c2444e46&oe=5529BEB4)
![](https://scontent-b-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10922597_329746390560929_5325005376744490175_n.jpg?oh=6c72c1f8845446f8f502e20774f8c614&oe=552426FB)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10455108_329746343894267_75948755781323776_n.jpg?oh=87f3a1abb08b410bcf1cf8ee903fd47e&oe=553D7299)
![](https://scontent-a-vie.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10906410_329746340560934_6172623314834056529_n.jpg?oh=4a56ba23281507226f5b3f7b2f89d720&oe=5536FDDA)
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Zanzibar kujenga wodi maalumu ya watoto
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Mtoto mgonjwa Nasrya Kombo aliyelazwa Hospitali kuu ya Mnazi mmoja baada ya kuungua kiwa moto. Pembeni kwa Balozi Seif ni Muuguzi wa Zamu katika Hopitali kuu ya Mnazi Mmoja wodi ya Watoto Bibi Mary Jadi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Serikal ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nia ya kutaka kujenga Wodi maalum kwa ajili ya kulazwa watoto wadogo wanaopatwa na majanga mbali mbali ya...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
JK aahidi kujenga magereza ya kisasa
11 years ago
Mwananchi04 May
TBA kujenga hospitali ya kisasa Shinyanga
11 years ago
Habarileo09 Feb
Aga Khan kujenga hospitali ya kisasa
TAASISI ya Aga Khan inatarajia kujenga hospitali kubwa ya kisasa nchini.
9 years ago
Habarileo04 Oct
Mgodi watumia bil 1.7/- kujenga sekondari ya kisasa
MGODI wa Dhahabu wa North Mara uliopo wilayani Tarime umetumia kiasi cha Sh bilioni 1.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari JK Nyerere pamoja na nyumba za walimu. Ujenzi wa shule hiyo iliyopo kijiji cha Nyamwaga kinachopakana na mgodi huo umeenda sambamba na ununuzi wa samani za ofisi za walimu, madarasa na maabara.