Zanzibar kujenga wodi maalumu ya watoto
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimpa pole Mtoto mgonjwa Nasrya Kombo aliyelazwa Hospitali kuu ya Mnazi mmoja baada ya kuungua kiwa moto. Pembeni kwa Balozi Seif ni Muuguzi wa Zamu katika Hopitali kuu ya Mnazi Mmoja wodi ya Watoto Bibi Mary Jadi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Serikal ya Mapinduzi ya Zanzibar ina nia ya kutaka kujenga Wodi maalum kwa ajili ya kulazwa watoto wadogo wanaopatwa na majanga mbali mbali ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jOXWr92I2Zk/VNu3B1t0OCI/AAAAAAABk1c/uRXye228N2w/s72-c/1791.jpg)
Wizara ya Afya Zanzibar Yatiliana Saini ya Makubaliano ya Ujenzi Wodi ya Watoto na Wazazi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jOXWr92I2Zk/VNu3B1t0OCI/AAAAAAABk1c/uRXye228N2w/s640/1791.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fdtjk5s6EME/VNu3E6G_QGI/AAAAAAABk1k/0L6nWes_qo4/s640/1809.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9gIm12qJN3M/VNvCF0kno7I/AAAAAAAHDKs/esIp1XYrKZs/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA UJENZI WA WODI YA WATOTO NA WAZAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9gIm12qJN3M/VNvCF0kno7I/AAAAAAAHDKs/esIp1XYrKZs/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cU2cyPaTb0g/VNvCGMvo2nI/AAAAAAAHDKw/zDk1b47bUcs/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xypWHhNi5qg/U4iv2Rjg0-I/AAAAAAAFmjc/T-Ma3f1U-s0/s72-c/unnamed+(9).jpg)
NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UJENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO HOSPITAL YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xypWHhNi5qg/U4iv2Rjg0-I/AAAAAAAFmjc/T-Ma3f1U-s0/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RsUNNkLsoXg/U4iv2PVYFgI/AAAAAAAFmjY/DIjUaIFx5uA/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
MichuziCBE YATOA MSAADA WA MASHUKA KWA AJILI YA WODI YA AKINAMAMA NA WATOTO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA ZANZIBAR
10 years ago
Habarileo05 Mar
Uholanzi kujenga wodi ya kisasa ya akinamama
BALOZI wa Uholanzi nchini, Jaap Fredriks amesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa wodi ya kisasa ya kutoa huduma kwa akinamama wajawazito itasaidia kupunguza vifo na kuona akinamama wanajifungua salama.
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Samia aombwa wodi ya watoto njiti
11 years ago
Habarileo24 Jan
WAMA kujenga hospitali maalumu ya wazazi
TAASISI ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imekusudia kujenga hospitali maalumu ya wazazi, lengo likiwa ni kuhakikisha wanasaidia juhudi za kupunguza vifo vya uzazi nchini. WAMA pia imepanga kujenga shule ya sekondari sawa na ile ya WAMA Nakayama iliyoko Rufiji mkoani Pwani ikisomesha watoto yatima na wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kifedha.
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Pinda apokea taarifa ya ujenzi wa wodi ya watoto — Sumbawanga
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Madaktari, wauguzi na viongozi wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor Atiman wakati alipokagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza baadhi ya wagonjwa wakati alipotembelea hospitali Teule ya Wilaya ya Sumbawanga ya Doctor Atiman wakati alipkagua ujenzi wa wodi ya watoto katika hospitali hiyo Oktoba 11, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri...
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.